ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Hay waungwana naomba tuchangie masuala yanayohusu katiba yetu mpya kwani naona wabunge wanataka kutunyima
nafasi zetu kama wananchi wa nchi yetu hivyo hatuna budi kujikomboa kwa suala hili. nipeni hoja zenu ili tuzipaishe humu ndani.
nafasi zetu kama wananchi wa nchi yetu hivyo hatuna budi kujikomboa kwa suala hili. nipeni hoja zenu ili tuzipaishe humu ndani.