wazanzibar tunacho kidai ni kujitenga na muungano wa tanganyika na zanzibar
HATUWA WALIZO ZICHUKUWA WAZANZIBAR AMBAZO NI SALAMA KABISA
1) WALIKWENDA UN KUDAI UHALALI WA MUUNGANO JE SEREKALI YA TANZANIA SEREKALI YA ZANZIBAR NA SEREKALI YA TANGANYIKA ILISEMA NINI JUU YA HILII
2) WALIKWENDA OFISI ZA UN ZILIZOPO ZANZIBAR KINAZINI WAKADAI KUJITOWA KWENYE MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
3)WALIKWENA OFISI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI NA KUKUSANYA SAHIHI ZA WANANCHI ILI KUITISHA KURA YA MAONI DHIDI YA MUUNGANO JE SEREKALI HII YA TANZANIA IMESEMA NINI NA SEREKALI YA ZANZIBAR IMESEMA NININA SEREKALI YA TANZANIA IMESEMA NINI
4) WALIKWENA KWA MAHAKAMA YA ZANZIBAR KUDAI HATI YA MUUNGANO MAHAKAMA AU SEREKALI YA ZANZIBAR IKASEMA HAINA MKATABA WA MUUNGANOO
MENGINEE NI HAYA
TUME YA JAJI NYALALI,JAJI NYALALI NA AMINA SALIM ALY ZOTE ZILITOWA MAONI NA HISIA ZA WAZANZIBAR JUU YA MUUNGANOO
JE HAYA YALISHUGHULIKIWA AU YALIACHWA TU JE NINI TULIJUWA ATHARI ZAKE ZA BAADAEEE HAWAKUJUWA WATAWALA
HUJUMA ZA CCM NA SEREKALI YA TANGANYIKA KWA KIVULI CHA MUUNGANO KUSHIRIKIANA NA WATU WNAOWEKWA MADARAKANI KWA NGUVU YA CHAMA ZANZIBAR
1) KABLA YA UCHAGUZI 1995 WALITUMIA HUJUMA ZA KUTIA MAVI VISIMA PEMBA NA KUENELEZA SERA ZA UUNGUJA NA UPEMBA AMAYO KWA MASIKITIKO MAKUBWA NDUGU ZETU WATANGANYIKA HUUICHUKUWA HII SERA YAO NA KUSEMA KUWA UKIVUNJIKA MUUNGANO WAZANZIBAR HATUTAKAA SAWA TUTABAGUWANA
JIBU JE UMEWAHI KUSIKIA UCHAGUZI ZANZIBAR JIRANI WA UNGUJA NA MPEMBA WANAOKA JIRANI WAKAPIGANA WAKATUKANANA, MBONA TANGANYIKA WATU CHAGUZI NDOGO NDOGO TU WANACHINJANYA NA KUUWANA JUZI TU ALIKATWA KICHWA KATIBU WA CHADEMA
2) CCM KWA MAKUSUDI KUUNDA JANJAWIRIII ILI KUPIGA RAIYA USIKUUU
3)KULETA JESHI LA JWTZ KUJA KUPIGA WATU NA KUGEUZA MATOKEO YA UCHAGUZI
4)TUMESHUHUDIA MKAPA AKIITANGAZIA ZANZIBAR KUWA KUNA UGAIDI WAKATI HUU HUO AMESHA WAUWA WAZANZIBAR PEMBA NA KWENGINEKOO
SERA ZA RAIYA WATANGANYIKA
WAZANZIBAR HAWAJITOSHELEZI VYAKULA VYOTE WANANUNUWA KUTOKA BARA KWA SASA HIZO BEE ZA MCHELE ZANZIBAR UNAO INGIZWA NJE IKIWEMO BASMAT NI SAWA KIBEI NA MCHELE WA MBEA NA KUNA MICHELE MIZURI NA BAEI AFADHALI YA MBEYA
PIA HIZI NI BIASHARA BAINA YA NCHI NA NCHI SIO LAZIMA KUTUUZIA TUTAKULA HIYO MICHELE YA NJE
CHA AJABU HIYOO TANGANYIKA WANOSEMA WATUUZIA MCHELE NI NCHI AMBAYO UN WANAIFAHAMU NI NCHI KAME KILA MIAKA MIWILI AU MITATU INAINGIA NJAA KWA MAANA YENYEWE HAIJITOSHELEZI CHAKULA HOJA YA MBATATA NA VITUNGUU
UDINI JAMANI WAKRISTU WA GOHA NA BANIANI WALIKUWEPO TANGU ZAMANI WAKIABUDU ZANZIBAR HAKUNA ALIYE WAPIGA WALA KWAKERA SASA LEO HUJUMA YA USALAMA WA TAIFA DHIDI YA WAPIGA MUUNGANOO IMEKWA NDIO KASUMBA YA WATANGANYIKA WENGI
KUHUSU UMEME TANGANYIKA HAIJITOSHELEZI KWA UMEME NI NCHI PEKEE DUNIANI INOZIMWA UMEME MJINI KWA MASAA 12 MARA MGAOO SASA HII NI BIASHARA ZANZIBAR BAADA YA KUVUNJIKA MUUNGANO WATANUNUWA NA KULIPA UMEME KAMA MTEJA UKITUSHINDA TUTATAFUTA CHAZO CHETU CHA UMEME
ZIPO NCHI NYIMGI DUNIANI HUTEGEMEA NCHI NYENGINE KWA NISHATI MFANO KAMA NCHI ZA JUMUIYA YA ULAYA ZOTE ZINATEGEMEA GESI KUTOKA RASSIA NA NATO NI ADUWI WA RUSSIA LAKINI HAPA NINALIONYESHA SUALA LA BIASHARAA
IMEFIKA WAKATI WATANGANYIKA MUTAFAKARI SIO MULETE HIJA ZA VITUNGUU NA MBATATA
KUNA MIUNGANI MINGI ILIVUNJIKA NA WATU WALISHI KWA SHERIA HUSIKA ZA NCHI
IMEFIKA WAKATI SUMU MUNAYO IPANDIKIZA YA UDINI KUPITIA USALAMA WA TAIFA HII NI MBAYA KWA TANGANYIKA SABABU HUKO KUNA DINI MBILI KUU PIA MAKABILA MENGI SANAA
MUSIPIGANE KWA CHAGUZI NDOGO NDOGOO MUSITUAMBIE WAZANZIBAR TUNA KIBANZI JICHONI WAKATI NYINYI MUKO NA BORITI YA MUNGU APEWE MUNGU YA KAISARI APEWE KAISARI HAPA IMEEHIMIZWA HAKIIII
WATANGANYIKA TUBAKI NA UJIRANI WEMWA
HATUWA WALIZO ZICHUKUWA WAZANZIBAR AMBAZO NI SALAMA KABISA
1) WALIKWENDA UN KUDAI UHALALI WA MUUNGANO JE SEREKALI YA TANZANIA SEREKALI YA ZANZIBAR NA SEREKALI YA TANGANYIKA ILISEMA NINI JUU YA HILII
2) WALIKWENDA OFISI ZA UN ZILIZOPO ZANZIBAR KINAZINI WAKADAI KUJITOWA KWENYE MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
3)WALIKWENA OFISI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI NA KUKUSANYA SAHIHI ZA WANANCHI ILI KUITISHA KURA YA MAONI DHIDI YA MUUNGANO JE SEREKALI HII YA TANZANIA IMESEMA NINI NA SEREKALI YA ZANZIBAR IMESEMA NININA SEREKALI YA TANZANIA IMESEMA NINI
4) WALIKWENA KWA MAHAKAMA YA ZANZIBAR KUDAI HATI YA MUUNGANO MAHAKAMA AU SEREKALI YA ZANZIBAR IKASEMA HAINA MKATABA WA MUUNGANOO
MENGINEE NI HAYA
TUME YA JAJI NYALALI,JAJI NYALALI NA AMINA SALIM ALY ZOTE ZILITOWA MAONI NA HISIA ZA WAZANZIBAR JUU YA MUUNGANOO
JE HAYA YALISHUGHULIKIWA AU YALIACHWA TU JE NINI TULIJUWA ATHARI ZAKE ZA BAADAEEE HAWAKUJUWA WATAWALA
HUJUMA ZA CCM NA SEREKALI YA TANGANYIKA KWA KIVULI CHA MUUNGANO KUSHIRIKIANA NA WATU WNAOWEKWA MADARAKANI KWA NGUVU YA CHAMA ZANZIBAR
1) KABLA YA UCHAGUZI 1995 WALITUMIA HUJUMA ZA KUTIA MAVI VISIMA PEMBA NA KUENELEZA SERA ZA UUNGUJA NA UPEMBA AMAYO KWA MASIKITIKO MAKUBWA NDUGU ZETU WATANGANYIKA HUUICHUKUWA HII SERA YAO NA KUSEMA KUWA UKIVUNJIKA MUUNGANO WAZANZIBAR HATUTAKAA SAWA TUTABAGUWANA
JIBU JE UMEWAHI KUSIKIA UCHAGUZI ZANZIBAR JIRANI WA UNGUJA NA MPEMBA WANAOKA JIRANI WAKAPIGANA WAKATUKANANA, MBONA TANGANYIKA WATU CHAGUZI NDOGO NDOGO TU WANACHINJANYA NA KUUWANA JUZI TU ALIKATWA KICHWA KATIBU WA CHADEMA
2) CCM KWA MAKUSUDI KUUNDA JANJAWIRIII ILI KUPIGA RAIYA USIKUUU
3)KULETA JESHI LA JWTZ KUJA KUPIGA WATU NA KUGEUZA MATOKEO YA UCHAGUZI
4)TUMESHUHUDIA MKAPA AKIITANGAZIA ZANZIBAR KUWA KUNA UGAIDI WAKATI HUU HUO AMESHA WAUWA WAZANZIBAR PEMBA NA KWENGINEKOO
SERA ZA RAIYA WATANGANYIKA
WAZANZIBAR HAWAJITOSHELEZI VYAKULA VYOTE WANANUNUWA KUTOKA BARA KWA SASA HIZO BEE ZA MCHELE ZANZIBAR UNAO INGIZWA NJE IKIWEMO BASMAT NI SAWA KIBEI NA MCHELE WA MBEA NA KUNA MICHELE MIZURI NA BAEI AFADHALI YA MBEYA
PIA HIZI NI BIASHARA BAINA YA NCHI NA NCHI SIO LAZIMA KUTUUZIA TUTAKULA HIYO MICHELE YA NJE
CHA AJABU HIYOO TANGANYIKA WANOSEMA WATUUZIA MCHELE NI NCHI AMBAYO UN WANAIFAHAMU NI NCHI KAME KILA MIAKA MIWILI AU MITATU INAINGIA NJAA KWA MAANA YENYEWE HAIJITOSHELEZI CHAKULA HOJA YA MBATATA NA VITUNGUU
UDINI JAMANI WAKRISTU WA GOHA NA BANIANI WALIKUWEPO TANGU ZAMANI WAKIABUDU ZANZIBAR HAKUNA ALIYE WAPIGA WALA KWAKERA SASA LEO HUJUMA YA USALAMA WA TAIFA DHIDI YA WAPIGA MUUNGANOO IMEKWA NDIO KASUMBA YA WATANGANYIKA WENGI
KUHUSU UMEME TANGANYIKA HAIJITOSHELEZI KWA UMEME NI NCHI PEKEE DUNIANI INOZIMWA UMEME MJINI KWA MASAA 12 MARA MGAOO SASA HII NI BIASHARA ZANZIBAR BAADA YA KUVUNJIKA MUUNGANO WATANUNUWA NA KULIPA UMEME KAMA MTEJA UKITUSHINDA TUTATAFUTA CHAZO CHETU CHA UMEME
ZIPO NCHI NYIMGI DUNIANI HUTEGEMEA NCHI NYENGINE KWA NISHATI MFANO KAMA NCHI ZA JUMUIYA YA ULAYA ZOTE ZINATEGEMEA GESI KUTOKA RASSIA NA NATO NI ADUWI WA RUSSIA LAKINI HAPA NINALIONYESHA SUALA LA BIASHARAA
IMEFIKA WAKATI WATANGANYIKA MUTAFAKARI SIO MULETE HIJA ZA VITUNGUU NA MBATATA
KUNA MIUNGANI MINGI ILIVUNJIKA NA WATU WALISHI KWA SHERIA HUSIKA ZA NCHI
IMEFIKA WAKATI SUMU MUNAYO IPANDIKIZA YA UDINI KUPITIA USALAMA WA TAIFA HII NI MBAYA KWA TANGANYIKA SABABU HUKO KUNA DINI MBILI KUU PIA MAKABILA MENGI SANAA
MUSIPIGANE KWA CHAGUZI NDOGO NDOGOO MUSITUAMBIE WAZANZIBAR TUNA KIBANZI JICHONI WAKATI NYINYI MUKO NA BORITI YA MUNGU APEWE MUNGU YA KAISARI APEWE KAISARI HAPA IMEEHIMIZWA HAKIIII
WATANGANYIKA TUBAKI NA UJIRANI WEMWA