habari ya siku nyingi wana jf
naandika huku nikiwa na donge moyoni linalonifanya niseme...i wish i knew..
yes..i wish ni msemo wa kujuta na ndivyo ilivyo.. nimeoa kwa muda mrefu na kwa kipindi kirefu nimekuwa sio muaminifu katika ndoa yangu, kuoa kwangu hakukuwahi kuwa na tofauti na bachelor yeyote asiyejiheshimu, nimefanya hivyo kwa kificho kiasi kwamba imekuwa vigumu mtu kunishtukia including my lovely wife, nimekaa nimetafakari na kugundua kuwa hakuna lolote jipya zaidi ya kuingiza kipato cha familia kwenye uzinzi na kutumia akili nyingi katika kujificha ili kuendeleza uzinzi tu, kila nilikokuwa napita nikiangalia nyuma my wife ana vitu vya ziada mbali tuuu,nimeamua sasa baaasi,natulia na mke wangu tuu na familia yangu, sitaki tena!offcource sikuwahi kumuudhi na nimekuwa nikifarijika mno ninapokuwa nae na pia hajawahi kunihisi, nashindwa kuelewa sijui ni pepo au nini kilikuwa kikinipeleka huko, heei..usijeanza kujiuliza nini kimenikumba,niko safi kimwili na kifya.sasa hapa napata taabu kwa wale niliokuwa nawafuata hawanielewi kabisa kuhusu maamuzi yangu,yes i messed up lakini sasa nahitaji kubadilika, naona kama nimekuwa huru zaidi siku hizi kwani sina tena haja ya kufichaficha simu,akili yangu pia imekuwa na muda mwingi zaidi wa kufikiria mambo ya kimaendeleo zaidi....
wewe je?!
naandika huku nikiwa na donge moyoni linalonifanya niseme...i wish i knew..
yes..i wish ni msemo wa kujuta na ndivyo ilivyo.. nimeoa kwa muda mrefu na kwa kipindi kirefu nimekuwa sio muaminifu katika ndoa yangu, kuoa kwangu hakukuwahi kuwa na tofauti na bachelor yeyote asiyejiheshimu, nimefanya hivyo kwa kificho kiasi kwamba imekuwa vigumu mtu kunishtukia including my lovely wife, nimekaa nimetafakari na kugundua kuwa hakuna lolote jipya zaidi ya kuingiza kipato cha familia kwenye uzinzi na kutumia akili nyingi katika kujificha ili kuendeleza uzinzi tu, kila nilikokuwa napita nikiangalia nyuma my wife ana vitu vya ziada mbali tuuu,nimeamua sasa baaasi,natulia na mke wangu tuu na familia yangu, sitaki tena!offcource sikuwahi kumuudhi na nimekuwa nikifarijika mno ninapokuwa nae na pia hajawahi kunihisi, nashindwa kuelewa sijui ni pepo au nini kilikuwa kikinipeleka huko, heei..usijeanza kujiuliza nini kimenikumba,niko safi kimwili na kifya.sasa hapa napata taabu kwa wale niliokuwa nawafuata hawanielewi kabisa kuhusu maamuzi yangu,yes i messed up lakini sasa nahitaji kubadilika, naona kama nimekuwa huru zaidi siku hizi kwani sina tena haja ya kufichaficha simu,akili yangu pia imekuwa na muda mwingi zaidi wa kufikiria mambo ya kimaendeleo zaidi....
wewe je?!