TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Wakuu,
Mimi siko kwenye siasa lakini kutokana na shida zangu za kila siku napata tabu kuelewa solution iwapo tutabaki na siasa zisizoenda na mwakati wala kuangalia welfare ya nchi
Nimetafakari sana matatizo mengi ya vyama vya siasa ni kukosa maono na dira kwa viongozi hasa wale watendaji
Ukichunguza mara nyingi baadhi ya Majibu ya wanasiasa yanasikitisha na yanaonyesha wazi kwamba upeo wa viongozi ni mdogo
Leo ntaomba kuanza na nafasi ya katibu Mkuu wa chama na nitaanza na Makamba...
Huyu baba amethibitisha kwamba ni mwenezi mzuri na mpiga domo mzuri kuliko lakini hana hadhi ya ukatibu mkuu, its a high time kuwa na katibu mkuu;
Kesho tutaendelea na ma-DC wanaoteuliwa kisiasa
Mimi siko kwenye siasa lakini kutokana na shida zangu za kila siku napata tabu kuelewa solution iwapo tutabaki na siasa zisizoenda na mwakati wala kuangalia welfare ya nchi
Nimetafakari sana matatizo mengi ya vyama vya siasa ni kukosa maono na dira kwa viongozi hasa wale watendaji
Ukichunguza mara nyingi baadhi ya Majibu ya wanasiasa yanasikitisha na yanaonyesha wazi kwamba upeo wa viongozi ni mdogo
Leo ntaomba kuanza na nafasi ya katibu Mkuu wa chama na nitaanza na Makamba...
Huyu baba amethibitisha kwamba ni mwenezi mzuri na mpiga domo mzuri kuliko lakini hana hadhi ya ukatibu mkuu, its a high time kuwa na katibu mkuu;
- Msomi
- Mtaalamu wa sheria na mambo ya jamii
- Awe ana uzoefu mkubwa wa kiutawala na fedha
- Awe elegant
- Abebe hadhi ya chama
Kesho tutaendelea na ma-DC wanaoteuliwa kisiasa