Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Kwenye riadha na baadhi ya michezo mingine kuna kitu kinachoitwa 'False start". Hii inatokea pale ambapo kwa mfano mkimbiaji anaanza kukimbia kabla bastola haijapigwa (kutokana na papara au kitu kingine) au ameanza kinyume na taratibu nyingine. Hilo linapotokea wakimbiaji wote hurudishwa mstarini na kuanza moja.
Najiuliza kuwa yawezekana kama TAifa we had a false start and now we need to restart the building of our nation.
Kama tukiamua kuanza upya:
a. Tufute kesi zote za mafisadi
b. wenye kusahamewa ndiyo wasamehewe (kilichoenda kwa "mganga"! na iwe kama sandakalawe!
c. Panga upya vikosi vyote,
d. Pangua upya safi nzima ya uongozi na kupanga upya
e. andaa ajenda mpya ya taifa
n.k !
And then let see if we can start right!
Najiuliza kuwa yawezekana kama TAifa we had a false start and now we need to restart the building of our nation.
Kama tukiamua kuanza upya:
a. Tufute kesi zote za mafisadi
b. wenye kusahamewa ndiyo wasamehewe (kilichoenda kwa "mganga"! na iwe kama sandakalawe!
c. Panga upya vikosi vyote,
d. Pangua upya safi nzima ya uongozi na kupanga upya
e. andaa ajenda mpya ya taifa
n.k !
And then let see if we can start right!