Nimekuwa nafuatilia kwa makini taarifa za habari za Tv mbalimbali tangu kampeni zimeanza na nimeona yafuatayo.
MLIMANI TV, Hii ndio Tv pekee ambayo imeonekana kuwa fair kwa vyama vyote na inatoa taarifa za kampeni zote zinavyoendelea bila upendeleo, habari yao inaanza saa moja na nusu jioni.
TBC1, hii ndio Tv ya taifa lakini imeonyesha upendeleo wa wazi kwa chama tawala, hata wanapoamua kuongelea habari za upinzani hawaoneshi picha au wanaonesha picha zilizopitwa na wakati au sehemu ambapo wapinzani wana watu wachache kwenye mkutano wao. Kumbuka pale jangwani slaa alipokuwa anatafuta wadhamini walimuonyesha yeye tu tena kuanzia kiunoni kwenda juu kana kwamba alikuwa anahutubia hewa.
ITV, Pamoja na mengi kuonekena mpiganaji lakini naona ccm wmeisha muweka sawa maana Jk na kampeni zake anapewa airtime kubwa mno na upande wa wapinzani hawana muda wakujua kinachoendelea.
Chanel 10, Hii ndo kabisa hawana muda wakujua kampeni za wapinzani zinaendeleaje, wanaripoti za ccm tu, any way nadhani wengi wetu mnajua wamiliki wa sasa wa kituo hiki so haishangazi.
Star Tv, Hii sijafuatilia kujua vizuri muelekeo wake maana habari zinagongana za vituo vingi saa mbili kamili so no comment.
Wanajamvi manaonaje vituo vyetu vinavyotoa nafasi kwa vyama vya siasa?
MLIMANI TV, Hii ndio Tv pekee ambayo imeonekana kuwa fair kwa vyama vyote na inatoa taarifa za kampeni zote zinavyoendelea bila upendeleo, habari yao inaanza saa moja na nusu jioni.
TBC1, hii ndio Tv ya taifa lakini imeonyesha upendeleo wa wazi kwa chama tawala, hata wanapoamua kuongelea habari za upinzani hawaoneshi picha au wanaonesha picha zilizopitwa na wakati au sehemu ambapo wapinzani wana watu wachache kwenye mkutano wao. Kumbuka pale jangwani slaa alipokuwa anatafuta wadhamini walimuonyesha yeye tu tena kuanzia kiunoni kwenda juu kana kwamba alikuwa anahutubia hewa.
ITV, Pamoja na mengi kuonekena mpiganaji lakini naona ccm wmeisha muweka sawa maana Jk na kampeni zake anapewa airtime kubwa mno na upande wa wapinzani hawana muda wakujua kinachoendelea.
Chanel 10, Hii ndo kabisa hawana muda wakujua kampeni za wapinzani zinaendeleaje, wanaripoti za ccm tu, any way nadhani wengi wetu mnajua wamiliki wa sasa wa kituo hiki so haishangazi.
Star Tv, Hii sijafuatilia kujua vizuri muelekeo wake maana habari zinagongana za vituo vingi saa mbili kamili so no comment.
Wanajamvi manaonaje vituo vyetu vinavyotoa nafasi kwa vyama vya siasa?