Tuandamane kabla ya kamati ya bunge

Baba wawili

Member
Aug 24, 2011
11
0
Wapendwa JF members, mie ndo kwanza najiunga katika ulimwengu huu adimu but very crucial for today. Jamani ninauchungu sana na hawa wanaokiuka maneno ya mwl. nyerere baba wa taifa ya watu kuiweka serikali ya nchi mkononi mwao. Sasa kilichopo hewan ni akina Jaira na Ngelejibasi kwao wanaiweka nchi hii mifukoni mwao halafu kwakuwa mheshimiwa ni wa kwao mambo ni rahisi kama kudondoka toka mtini.
Sioni sababu kwanini tusiandamane hata kabla ya bunge na kamati tarajali kufanya kazi, kwani tutakuwa wagumu kufanya maamuzi magumu mpaka lini? jamani inatosha sasa..........
 
Wapendwa JF members, mie ndo kwanza najiunga katika ulimwengu huu adimu but very crucial for today. Jamani ninauchungu sana na hawa wanaokiuka maneno ya mwl. nyerere baba wa taifa ya watu kuiweka serikali ya nchi mkononi mwao. Sasa kilichopo hewan ni akina Jaira na Ngelejibasi kwao wanaiweka nchi hii mifukoni mwao halafu kwakuwa mheshimiwa ni wa kwao mambo ni rahisi kama kudondoka toka mtini.
Sioni sababu kwanini tusiandamane hata kabla ya bunge na kamati tarajali kufanya kazi, kwani tutakuwa wagumu kufanya maamuzi magumu mpaka lini? jamani inatosha sasa..........

Na siku ya maandamano awepo mkeo na hao wawili wako wawe mbele ili polisi wakiwaona wapate kigugumizi cha kufayatua risasi za moto.
 
<b>Na siku ya maandamano awepo mkeo na hao wawili wako wawe mbele ili polisi wakiwaona wapate kigugumizi cha kufayatua risasi za moto.</b>
<br /> <br / kwahiyo wewe ni mwoga wa kuitetea haki yako? Heri kufa kishujaa kuliko kufa km mzoga
 
Hatutaki KAMATI juu ya hili; ikulu iwajibike haraka kwa kulidharau bunge na kuonyesha kutoona umuhimu wowote wa maoni ya wannchi kwa ujumla wetu. AHERI YA ULEVI WA GONGO KULIKO HUU ULEVI WA MADARAKA kama ambavyo imeonyeshwa na ikulu yetu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sherehe ya Jairo ni harusi ya Ngeleja ni Kekwete, ila we kafiri uliyepositi hapo juu laiti ungetoa huo ukuda wako mbele yangu na nikakusikia ningepata mada kesi kwa sababu ningekuchinja kama mbuzi
 
&#8206;"Think kiasi gani tumepoteza kama taifa, Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
TICTS, RADAR,NDEGE YA RAIS, SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE, TWIN TOWERS BOT, MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini), KAGODA(EPA), MEREMETA, RICHMOND/DOWANS, WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM), IPTL, NA MINGINE MINGI...
TUAMBIANE KUWA... SIKU TULIZOSUBIRI, KUVUMILIA, KU...TESEKA NA HATA KUDHARAULIWA KWA AIBU ZIMEKWISHA: NAPENDEKEZA
JUMATATU HII 29 AUGUSTI 2011 ITAKUWA SIKU TAKATIFU KWETU SOTE KUONESHA UZALENDO WETU KUITETEA NA KUITUKUZA NCHI YETU KWA KUONESHA KWA VITENDO KUCHUKIZWA KWETU NA MAOVU YOTE TULIYOSHUHUDIA KWA ZAIDI YA MIAKA 30 SASA! NJOONI KILA MMOJA KWA BARABARA YAKE KWA AMANI NA UMOJA WETU TUELEKEE MNAZI MMOJA. WALIOKO MIKOANI WAELEKEE OFISI ZA SERIKALI MIKOANI, NA WILAYANI KWAO.Amini katika Mungu! Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.
 
uchawi si kuwanga usiku tu, wawili wangu na mama yao haiwapendezi kuona wachache wanagawana mamilion ya utajiri wa watanzania huku zipo jamii ambazo hata kupata msosi mmoja tu kwa siku ni kazi. wacha wawe wajeshi wa kupigania haki ya mtanzania anayetambua haki zake kuliko kuzeeka wakiwavumilia hawa wanaoifisadia nchi na kutudhalilisha watanzania wa ukweli.
Ama we jamaa si mtanzania?
 
&#8206;&quot;Think kiasi gani tumepoteza kama taifa, Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!<br />
TICTS, RADAR,NDEGE YA RAIS, SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE, TWIN TOWERS BOT, MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini), KAGODA(EPA), MEREMETA, RICHMOND/DOWANS, WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM), IPTL, NA MINGINE MINGI...<br />
TUAMBIANE KUWA... SIKU TULIZOSUBIRI, KUVUMILIA, KU...TESEKA NA HATA KUDHARAULIWA KWA AIBU ZIMEKWISHA: NAPENDEKEZA<br />
JUMATATU HII 29 AUGUSTI 2011 ITAKUWA SIKU TAKATIFU KWETU SOTE KUONESHA UZALENDO WETU KUITETEA NA KUITUKUZA NCHI YETU KWA KUONESHA KWA VITENDO KUCHUKIZWA KWETU NA MAOVU YOTE TULIYOSHUHUDIA KWA ZAIDI YA MIAKA 30 SASA! NJOONI KILA MMOJA KWA BARABARA YAKE KWA AMANI NA UMOJA WETU TUELEKEE MNAZI MMOJA. WALIOKO MIKOANI WAELEKEE OFISI ZA SERIKALI MIKOANI, NA WILAYANI KWAO.Amini katika Mungu! Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.
<br />
<br />
Naunga mkono hoja,jamani wanajamvi naomba tuwahamasishe ndugu na jamaa,saa ya ukombozi ni sasa,mapinduzi huanza na watu wachache,hebu na yaanzie hapa,thread hii iwe moto wa ukombozi dhidi ya wadharim na walevi wa madaraka,hiyo jtatu na tujitokeze kwa wingi mitaani.
 
Na siku ya maandamano awepo mkeo na hao wawili wako wawe mbele ili polisi wakiwaona wapate kigugumizi cha kufayatua risasi za moto.

Ninaelewa unachomaanisha, woga wa kufa kwa kuwa askari wetu
hawaoni taabu kutumia risasi za moto siyo?
 
Sishangai bunge kudharauliwa maana wengi waliopo mule ni watetez wa serikali sasa serikali ishajionea ni kawaida matokeo yake ndio haya
 
Naunga mkono hoja hii ya kujitokeza kwa wananchi wote na kuelekea ofisi za serikali, lakini nafikilia kwamba muda wa kujipanga na kufanya hivyo hautoshi. Naamini ni wananchi wengi sana hasa vijijini wamechoshwa sana na hali hii ya maisha. Nakubali kuwa simu zetu, kompyuta zetu na vipeperushi vinavyopita na kusambaa kwa kasi vikionyesha baadhi ya wabunge kuonekana wakisinzia bungeni, michoro na vikatuni vinavyoonyesha uozo wa serikali yetu, miundombinu chafu na kila aina ya uozo wa serikali, ni njia sahihi kwa sasa inayowafikia wananchi hasa vijijini kwa haraka zaidi. Hata hivyo nafikiri mpango huu ukiandaliwa vizuri na wananchi wakaelimishwa vizuri nia na madhumuni ya kufanya hivyo naamini kutakuwa na mafanikio makubwa katika maandamano hayo.
 
Na siku ya maandamano awepo mkeo na hao wawili wako wawe mbele ili polisi wakiwaona wapate kigugumizi cha kufayatua risasi za moto.

Ni wazi kuwa wewe ni mjomba ake na Jairo, na huwa anakutuma kwa ngeleja na JK hivyo unashiriki bashasha zao. Hao polisi si wale wale japo w
anaishi kwenye viota vya mabati huku wanaochumia kivulin hulia kwenye AC, NAHISI WEWE SI MTANZANIA WA UKWELI, tafadhali ambatanisha cheti chako cha kuzaliwa kwenye ujumbe ako.w
 
&#8206;"Think kiasi gani tumepoteza kama taifa, Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
TICTS, RADAR,NDEGE YA RAIS, SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE, TWIN TOWERS BOT, MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini), KAGODA(EPA), MEREMETA, RICHMOND/DOWANS, WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM), IPTL, NA MINGINE MINGI...
TUAMBIANE KUWA... SIKU TULIZOSUBIRI, KUVUMILIA, KU...TESEKA NA HATA KUDHARAULIWA KWA AIBU ZIMEKWISHA: NAPENDEKEZA
JUMATATU HII 29 AUGUSTI 2011 ITAKUWA SIKU TAKATIFU KWETU SOTE KUONESHA UZALENDO WETU KUITETEA NA KUITUKUZA NCHI YETU KWA KUONESHA KWA VITENDO KUCHUKIZWA KWETU NA MAOVU YOTE TULIYOSHUHUDIA KWA ZAIDI YA MIAKA 30 SASA! NJOONI KILA MMOJA KWA BARABARA YAKE KWA AMANI NA UMOJA WETU TUELEKEE MNAZI MMOJA. WALIOKO MIKOANI WAELEKEE OFISI ZA SERIKALI MIKOANI, NA WILAYANI KWAO.Amini katika Mungu! Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.

Naunga mkono hoja,tena maandamano haya yakiratibiwa na kuongoozwa na wanaharakati itapendeza zaidi. Maana wakianzisha wanasiasa serikali haichelewi kuyabatiza kwa jina la taarifa za kiintelijensia.
 
na kawaida wanaokua na midomo mirefu ya kuchochea maanadamano hawasogezi pumb..... zao ila wanakimbia kwani we unashindwa kwenda peke yako wala sio nidhamu ya woga bali tunabidi tuelewe kua tatizo la kiuchumi lipo ktk kila pembe!
 
Back
Top Bottom