Baba wawili
Member
- Aug 24, 2011
- 11
- 0
Wapendwa JF members, mie ndo kwanza najiunga katika ulimwengu huu adimu but very crucial for today. Jamani ninauchungu sana na hawa wanaokiuka maneno ya mwl. nyerere baba wa taifa ya watu kuiweka serikali ya nchi mkononi mwao. Sasa kilichopo hewan ni akina Jaira na Ngelejibasi kwao wanaiweka nchi hii mifukoni mwao halafu kwakuwa mheshimiwa ni wa kwao mambo ni rahisi kama kudondoka toka mtini.
Sioni sababu kwanini tusiandamane hata kabla ya bunge na kamati tarajali kufanya kazi, kwani tutakuwa wagumu kufanya maamuzi magumu mpaka lini? jamani inatosha sasa..........
Sioni sababu kwanini tusiandamane hata kabla ya bunge na kamati tarajali kufanya kazi, kwani tutakuwa wagumu kufanya maamuzi magumu mpaka lini? jamani inatosha sasa..........