K Kafuta Senior Member Oct 15, 2010 119 29 May 24, 2011 #1 Nami mbaya kwa raia wa libya..kat ya gaddaf na nch za magharib (marekani)?
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 May 24, 2011 #3 Kafuta said: Nami mbaya kwa raia wa libya..kat ya gaddaf na nch za magharib (marekani)? Click to expand... Tunaongelea ya TARIME, usituletee mambo ya magamba hapa!...kweeeeeek! Pilipili usizozila zakuwashiani?
Kafuta said: Nami mbaya kwa raia wa libya..kat ya gaddaf na nch za magharib (marekani)? Click to expand... Tunaongelea ya TARIME, usituletee mambo ya magamba hapa!...kweeeeeek! Pilipili usizozila zakuwashiani?
delabuta Senior Member May 23, 2011 178 46 May 24, 2011 #5 jamani mjibuni ni gadafi kwa kudhani libya alizaliwa yeye tu kuwa kiongozi. kama ccm wanavyofikiria.
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 May 24, 2011 #6 Ni Gaddafi kwa kung'ang'ania madaraka katika miaka ambayo ni umri wa mtu mzima.