uzuri hakuna mwenye ndoa hapo...
Hivi umkute mmeo/mkeo anaigiza kwa jinsi hii, utachukua hatua gani?
Sidhani kama kuna mwanamme amuone mkewe anaigiza katika mazingira hayo avumile
sijui ...vipaja nje ukienda zaidi unaweza kuona na mengineyo:angry:
Sidhani kama kuna mwanamme amuone mkewe anaigiza katika mazingira hayo avumile
sijui ...vipaja nje ukienda zaidi unaweza kuona na mengineyo:angry:
Globalisation imekwisha chukua mkondo wake hapo.Nafikiri hata mira zetu haziruhusu hali kama hii, sijui BASATA wako wapi siku hizi,