Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,888
- 21,976
habarini za sahizi ndugu wapenzi.....nimekuja kukumbushana tu jamani najua wako watakaohoji...lakini hata wale wanaoanguka dhambini kwa ajili ya uzinzi ni shetani hatuna budi kumkimbia na kuachana nae....
sasa basi ni vyema wanandugu tukalinda na kuheshimu ndoa zetu...badala ya kuanza kuwekeza kwa mabinti wadogo kwa wakubwa na mwisho kuishia kama mchezo wa "DECI""
Wapo wengi ambao wanaanguka na mwisho wa siku kuona aibu na kupata fedheha kwa familia watoto..la hasha hatimae yule mkewako uliekuwa umemuasi na kuamua kuiba pendo lake ndie anaekuja kukuliwaza siku ya mwisho....najua kuna tamaa za dunia lakini wanandugu tujali ndoa zetu tupende ndoa zetu uwezi sema unapenda watoto wako wakati mkeo una mcheeeeeeeeeeeeeeeeat.....huo ni unafiki....hata kama ni pepo jamani basi tusikubali apite kwenye ndoa zetu....mke mwema hupewa na bwana labda niwaambie unajua wakati umeomba mke ulimwambia mungu akupe unaefanana nae...lakini ukiwa na nyumba ndogo unadiriki kusema mkewangu mshenzi tu hana maana weeeeeee kama ni mshenzi na wewe ni mshenzi zaidi...maaana uliomba wa kufanana nae...hata akiwa mzinzi mwombe MUNGU ambadilishe badala na wewe kuanzisha mapenzi ya deci....
MWISHO NAWATAKIA MAISHA MEMA WALE WOTE WENYE NDOA ZAO MUNGU AWALINDE NA PEPO LA UZINZI NA KUWAFUNIKA NA DAMU YA YESU....nawatakia kila la kheri muishi maisha mema yenye baraka...tuachane na sugar mumy"s na dogodogo/...
sasa basi ni vyema wanandugu tukalinda na kuheshimu ndoa zetu...badala ya kuanza kuwekeza kwa mabinti wadogo kwa wakubwa na mwisho kuishia kama mchezo wa "DECI""
Wapo wengi ambao wanaanguka na mwisho wa siku kuona aibu na kupata fedheha kwa familia watoto..la hasha hatimae yule mkewako uliekuwa umemuasi na kuamua kuiba pendo lake ndie anaekuja kukuliwaza siku ya mwisho....najua kuna tamaa za dunia lakini wanandugu tujali ndoa zetu tupende ndoa zetu uwezi sema unapenda watoto wako wakati mkeo una mcheeeeeeeeeeeeeeeeat.....huo ni unafiki....hata kama ni pepo jamani basi tusikubali apite kwenye ndoa zetu....mke mwema hupewa na bwana labda niwaambie unajua wakati umeomba mke ulimwambia mungu akupe unaefanana nae...lakini ukiwa na nyumba ndogo unadiriki kusema mkewangu mshenzi tu hana maana weeeeeee kama ni mshenzi na wewe ni mshenzi zaidi...maaana uliomba wa kufanana nae...hata akiwa mzinzi mwombe MUNGU ambadilishe badala na wewe kuanzisha mapenzi ya deci....
MWISHO NAWATAKIA MAISHA MEMA WALE WOTE WENYE NDOA ZAO MUNGU AWALINDE NA PEPO LA UZINZI NA KUWAFUNIKA NA DAMU YA YESU....nawatakia kila la kheri muishi maisha mema yenye baraka...tuachane na sugar mumy"s na dogodogo/...