kombati
Member
- Oct 1, 2011
- 38
- 9
kwa muda mrefu sana watanzania tumekuwa na utamaduni wa kuwapigia kura wagombea ambao huongozana na wasanii katika kampeni zao...tumepigia kura burudani za TOT chini ya komba na khadija kopa, TMK wanaume Family, Bushoke, Marlaw, Dimond..nk..ushauri wangu...2015..tupigie kura sera na umaridadi na uwezo wa viongozi kuongoza kivitendo badala ya kuchanganywa na burudani za wasanii amabo huwapa sapoti wasanii wenzao....:spy: