Tuache kudharau wachina jamani

pomo

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
267
31
kuna kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake kwa muda mrefu sana, basi ikatokea siku moja jamaa akapata scholaship kwenda kusoma nje ya nchi, huku nyuma mpenzi wake uvumilivu ukamshinda akatoka na mchina. jamaa aliporudi kutoka masomoni akakuta mpenzi ake anaujauzito; alipomuuliza vp mbona hivi? dada wa watu akamwambia ukweli. Basi jamaa akasema kama ni mchina haitachukua muda itatoka tu, walisubiri hadi miezi 9 ikatimia, unajua kilitokea nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom