Kuna makabila mengi Tanzania bado wana mila na desturi mbaya; na kuna watu bado hawataki kuacha destruri na mila hizo. Napenda kuwafahamisha kuwa si lazima kuwafuata wazee wako walikuwa wanaamini nini? au wanafanya nini fanya utafiti mwenyewe tafuta ukweli kabla ya kifo; maana kila mtu atabeba mzigo wake ahera..
1. Chunguza kama dini za wazee wako ni sahihi i.e. usikubali kuabudu mizimu, sanamu wala usimshirikishe Mwenyezi na kitu chochote. Si lazima kufuata dini za wazee kama wanaabudu mizimu, sanamu maana utaulizwa mwenyewe tu wala kufuata baba yako haitakuwa sababu ya kutosha siku hiyo..
2. Usikubali kuonea wanawake na watoto; kuna makabila watoto wa kike hadi leo wanaonewa, na wanawake hawapewi stahili zao; hakuna mgawanyo wa mali; nimekutana na kesi moja huku Dodoma wanaume tu ndio wanaridhi maliya baba kama ng'ombe na ardhi lakini wasichana hawapati chochote.
3. Mnaweza kuongeza mila na desturi mbovu......mnazojua???
1. Chunguza kama dini za wazee wako ni sahihi i.e. usikubali kuabudu mizimu, sanamu wala usimshirikishe Mwenyezi na kitu chochote. Si lazima kufuata dini za wazee kama wanaabudu mizimu, sanamu maana utaulizwa mwenyewe tu wala kufuata baba yako haitakuwa sababu ya kutosha siku hiyo..
2. Usikubali kuonea wanawake na watoto; kuna makabila watoto wa kike hadi leo wanaonewa, na wanawake hawapewi stahili zao; hakuna mgawanyo wa mali; nimekutana na kesi moja huku Dodoma wanaume tu ndio wanaridhi maliya baba kama ng'ombe na ardhi lakini wasichana hawapati chochote.
3. Mnaweza kuongeza mila na desturi mbovu......mnazojua???