VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Wana-JF tafadhali tujadiliane kwa amani. ARV ni dawa za kupunguza makali ya UKIMWI na kuongeza umri wa kuishi kwa mwathirika.Hivyo ndivyo nijuavyo.Watu watumiao ARV hupendeza kimuonekano na 'kiafya'.Siku zinasogea.
Lakini,watu hao husafiri hapa na pale ndani na nje ya Tanzania.Wapo ambao huendelea na kufanya ngono,tena bila kinga,na wengine ambao wameshaathirika au hawajaathirika.Maambukizi mapya yanaongezeka kila siku.Wapo wanaohama toka sehemu moja hadi nyingine ambapo huonekana 'wapya'.Wanaambukiza kirahisi sana.Maambukizi yanaendelea na kuongezeka.
Sasa,tuachane na matumizi ya ARV ili waathrika wajulikane na waepukike kuambukiza wengine?
Lakini,watu hao husafiri hapa na pale ndani na nje ya Tanzania.Wapo ambao huendelea na kufanya ngono,tena bila kinga,na wengine ambao wameshaathirika au hawajaathirika.Maambukizi mapya yanaongezeka kila siku.Wapo wanaohama toka sehemu moja hadi nyingine ambapo huonekana 'wapya'.Wanaambukiza kirahisi sana.Maambukizi yanaendelea na kuongezeka.
Sasa,tuachane na matumizi ya ARV ili waathrika wajulikane na waepukike kuambukiza wengine?