Nasikitika kwamba mpaka sasa tulivyoambiwa Tanzania imejiunga na mtandao wa Fibre Optic kwa ajili ya mawasiliano ya kimataifa ya internet n.k bado huduma ya kampuni ya TTCL ni duni sana.
Mtandao wao unakorofisha mara kwa mara na ukiwapigia simu hawapokei simu au wakipokea hawashugulikii tatizo, sasa sijui waliopewa hiyo kazi hawajui au hawana nia ya kutoa huduma kwa wateja?
Kwanini hata gharama hazipungui tunabaki kutoa hela nyingi kwa huduma mbovu?
Kwanini sisi Tanzania tupo nyuma kila kitu? Nchi za majirani yetu wanazidi kupiga hatua ktk technolojia? Au watu wapo kupokea mishahara ya bure mwisho wa mwezi na hawafanyi kazi yoyote kazi kupiga porojo makazini na utoro!
Mtandao wao unakorofisha mara kwa mara na ukiwapigia simu hawapokei simu au wakipokea hawashugulikii tatizo, sasa sijui waliopewa hiyo kazi hawajui au hawana nia ya kutoa huduma kwa wateja?
Kwanini hata gharama hazipungui tunabaki kutoa hela nyingi kwa huduma mbovu?
Kwanini sisi Tanzania tupo nyuma kila kitu? Nchi za majirani yetu wanazidi kupiga hatua ktk technolojia? Au watu wapo kupokea mishahara ya bure mwisho wa mwezi na hawafanyi kazi yoyote kazi kupiga porojo makazini na utoro!