The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Mkuu Fungwe,
Asante kwa ushauri ingawaje umesema hiyo sera ya TTCL (OF COURSE SIO) lakini pamoja na hiyo isolated case yangu kama mnavyosema, inakuwaje hawana moden mpaka wateja tununue wenyewe? Suala hapa kwa mtindo huu hawa jamaa wamejiandaa kushindana kweli kwenye ili soko huria? Nakumbuka wakati naomba nifungiwe line ya simu some 10 years ago, it did not take that much long pamoja na kwamba they were only service provider available. Iweje leo wakati watoa huduma za internet wako kibao?
Tiba
Achana nao, sio lazima uwe na Internent ya TTCL kama mwanzo ndio huo kuna uwezekano wa kupata usumbufu zaidi hapo baadae! Tumia Zantel au Sasatel.