TSN yapata hasara bilioni 19

Ni taasisi zipi za serikali zinazopata faida? _

NHC wamepata faida ya 202bn mwaka 2011, NSSF wamepata faida ya vitega uchumi 600bn mwaka 2011, BoT wamepata faida ya tshs 400bn, Twiga BankCorp, TPA wamepata faida ya zaidi ya 70bn nk.

Hawa TSN hawajapata hasara, wanapata faida. Kama ilivyo kwa wengine ikiwemo niliyotaja hapo juu, Mashirika yanaendeshwa vibaya sana. Hii 19bn ya TSN ni upotevu kwa miaka 4 iliyopita, sio mwaka mmoja. TSN ni moja ya mashirika yanayoendeshwa vibaya sana nchini.

Dodoma kufanya nini? Swali zuri. Tumewaita Bodi nzima, Msajili wa Hazina na Wizara. Lengo? Maelekezo ya Kibunge ya kulifumua Shirika ikiwemo kutofautisha Uhariri na Uendeshaji wa Kampuni. Pia tunataka TSN iwe publicly owned badala ya government owned, kwa hiyo kuuza nusu ya hisa zake DSE.
 
TSN ni ya serikali au CCM
nadhani wanafanya kazi kwa maslahi ya CCM kumbe wanatumia kodi zetu
inafaa wanyongwe kabisa kujieleza haitoshi
hivi kwanini tusiazime sheria za china? hawa watu they dont deserve to live kwa sasa
nadhani hapa Zito tunamba uhakikishe kunakuwa na uwajibikaji tena wa mara moja
sio ule wa kubembelezana
 
Kuna mtu alikuwa anategemea hawa watengeneze Faida? mi nilidhani TSN Supermarkets na Petrol Stations
 
19bn? Ni hasara ya muda gani, 1yr, 2yrs or what?

Sio hasara. Ni matumizi mabaya ya thamani hiyo. Ni hoja za jumla ya miaka 4. Shirika linapata faida. Isipokuwa faida ingekuwa kubwa sana Kama lingekuwa linaendeshwa vizuri na kufuata misingi ya corporate governance. Shirika hili sio la kuangaliwa, ni la kufumua kabisa. Ndio maana tumewaita Dodoma wajumbe wote wa Bodi, Wizara ya Fedha na Wizara ya Habari. TSN linaendeshwa Kama kijiwe cha watu Fulani.

Tutalisafisha
 
  • Thanks
Reactions: FJM
TSN ni ya serikali au CCM
nadhani wanafanya kazi kwa maslahi ya CCM kumbe wanatumia kodi zetu
inafaa wanyongwe kabisa kujieleza haitoshi
hivi kwanini tusiazime sheria za china? hawa watu they dont deserve to live kwa sasa
nadhani hapa Zito tunamba uhakikishe kunakuwa na uwajibikaji tena wa mara moja
sio ule wa kubembelezana


Wameingia 18, tunasafisha. Ndio tumeita Wizara husika na Bodi Nzima. Mukama alikuwa Mwenyekiti wa Bodi wakati wa madudu haya
 
Lazima wapate hasara kwa vile wanaandika habari za hovyo zinazoangalia propaganda za chama sikivu na kuajiri vibonde
 
Sio hasara. Ni matumizi mabaya ya thamani hiyo. Ni hoja za jumla ya miaka 4. Shirika linapata faida. Isipokuwa faida ingekuwa kubwa sana Kama lingekuwa linaendeshwa vizuri na kufuata misingi ya corporate governance. Shirika hili sio la kuangaliwa, ni la kufumua kabisa. Ndio maana tumewaita Dodoma wajumbe wote wa Bodi, Wizara ya Fedha na Wizara ya Habari. TSN linaendeshwa Kama kijiwe cha watu Fulani.

Tutalisafisha


Still, 19bn even if ni kwa miaka 4 ni hela nyingi sana! We are looking at aprox 5bn going down the drain- annually. Imagine what you can do with 5bn jimboni kwako, Zitto? Imagine how many x-machines ungepata? Vitabu vingapi kwenye shule?

Mukama naye aitwe, aseme hela zimeenda wapi?
 
Unategemea nn kama wanamiliki gazeti la udaku liitwalo Habari Leo kutwa kuchwa wanaandika baadhi ya habari ambazo waandishi makini wanayaachia magazeti pendwa?
 
Wakayi wanapata hasara ya hela zote hizo bado wanaenda ofisini kila siku na mwisho wa mwezi wanapewa mshahara?
 
...mtaani kwetu kuna mzee mwenye umri takribani miaka 85,alikataa kufungiwa vigwangala(vitumbua)kwenye gaziti la Habari Leo kisa lilikuwa na picha ya Dhaifu...


Ha ha ha haaa,nimeipenda hii,natamani kigwangwala aione mzee wa rushwa za vitumbua,CCM nzima ni watoa rushwa,wanachotofautiana ni aina ya rushwa.kuna za ngono,pesa,pilau,n.k
 
Back
Top Bottom