Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Mtu anayemlaumu Morgani nadhani ana lake jambo.
Hivi kwa mateso ambayo jamaa wa opposition wamepitia..can they accept hiyo wizara iende kwa Mugabe tena? any sane person wouldnt accept that. Ni police ambao wamenyanyasa na kuua watu...kukubali huo mgawanyo wa madaraka ni sawa na kuwasaliti wote waliopigania demokrasia Zimbabwe. Wizara ya Fedha na katiba..its just a gimmick..nothing in there...atleats Mugabe angekuwa mtu wa kuaminika..lakini..Morgan akikubali..ni kwamba police wataendelea na ukatili wao wa kunyanyasa wa na kuua watu..afcourse we Know Mugabe anaogopa kuachia wizara ya mambo ya ndani kwa sababu ya madhambi yao huko nyuma..wanaogopa kushtakiwa...
Kama Mugabe hana agenda ya siri kwa nini.....yeye asikubali kuachia hiyo wizara ya mambo ya ndani? after all... defence na security tayari ziko kwenye column yake..lakini hapa watu wanakuwa na audacity ya kumalumu Morgani..ama kweli tunaangalia picha kwa mtizamo tofauti! Morgan got more votes than Mugabe..ni kwa nini Mugabe ajione ana haki ya kuitawala Zimbabwe kuliko wengine?
Mugabe has proved and proved once again that is not the person to be trusted!
Yaani mpaka leo watu wanamlumu Morgan..kwani wazungu ndo walimpigia kura? how LOW can Mugabe and his supporters go? It sucks!
Hivi kwa mateso ambayo jamaa wa opposition wamepitia..can they accept hiyo wizara iende kwa Mugabe tena? any sane person wouldnt accept that. Ni police ambao wamenyanyasa na kuua watu...kukubali huo mgawanyo wa madaraka ni sawa na kuwasaliti wote waliopigania demokrasia Zimbabwe. Wizara ya Fedha na katiba..its just a gimmick..nothing in there...atleats Mugabe angekuwa mtu wa kuaminika..lakini..Morgan akikubali..ni kwamba police wataendelea na ukatili wao wa kunyanyasa wa na kuua watu..afcourse we Know Mugabe anaogopa kuachia wizara ya mambo ya ndani kwa sababu ya madhambi yao huko nyuma..wanaogopa kushtakiwa...
Kama Mugabe hana agenda ya siri kwa nini.....yeye asikubali kuachia hiyo wizara ya mambo ya ndani? after all... defence na security tayari ziko kwenye column yake..lakini hapa watu wanakuwa na audacity ya kumalumu Morgani..ama kweli tunaangalia picha kwa mtizamo tofauti! Morgan got more votes than Mugabe..ni kwa nini Mugabe ajione ana haki ya kuitawala Zimbabwe kuliko wengine?
Mugabe has proved and proved once again that is not the person to be trusted!
Yaani mpaka leo watu wanamlumu Morgan..kwani wazungu ndo walimpigia kura? how LOW can Mugabe and his supporters go? It sucks!