Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Wataalamu wa Uchumi nisaidieni. Wakati tukilalamika kuwa shillingi yetu inaporomoka, nilishikwa na butwaa kuona kuwa shillingi hiyo hiyo imeimaika sana against Kenyan shilling. Siku za nyuma mwaka juzi nilinunua KSHS moja kwa TSHS 20 lakini sasa ni KSHS 1 kwa Tshs 14.
Hii imeekaaje?
Hii imeekaaje?