mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,137
- 275
ndugu zangu kama kuna mtu anaweza kusaidia walimu wa sec kupata barua za ajira wilayani temeke namuomba asaidie kwani tsd temeke hawafanyi kazi..hasa yule katibu wake bi SUBIRA MWAKITEBE..tunaomba mwenye uwezo wa kurekebisha basi asaidie..afisa elimu wilaya na mkoa pia wapo kimya,.ahsanteni