BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
na kwa mfumko huu middle class itazidi kupungua!
Ukitaka kujua kama Tanzania is a hopeless country
Hakuna mtu aliyefanya analysis kuwa hawa jamaaa wakiondona how much loss Taifa litaingia
Hakuna mtu aliyejaribu kukaa na hawa jamaa waka address matatizo wanayokabiliana nayo
and of course no one cares
Awe mkweli huyu jamaa anadai kuwa Dar kuna MALL 2 tu?
MLIMANI CITY
SHOPPERS PLAZA-Msasani
SHOPPERS PLAZA-Masaki
MAYFAIR PLAZA
SEACLIFF VILLAGE
QUALITY CENTRE
Bado nyingine ndogo ndogo...O'bay Shoping Centre,JM Mall,Tevi etc kingine kinachofanya WaTZ tusiwe na utaratibu wa ku-shop ni utitiri wa Boutique na Groceries stores zilizopo kila baada ya mita 10... Kampala,Lusaka,Nairobi,Kigali hakuna hilo pole zenu wa-Kenya...
Mkuu Tusker Baridi, hawa jamaa wameshindwa tuu kufanya biashara kwa sababu bei zao sio attractive kwa level ya middle class ya Tanzania japo nakubali ni kweli reantal fee ya nyumba ni kubwa, ukweli ni kuwa hao waiowatarget kama middle class kwa bei zao, wan ao aford sio middle class bali ni high class ambao wana access kupata kila kitu huko vinakotoka.
Kabla ya kufunga biashara kutoka na kupata hasara iliyochangiwa na uchache wa wateja, kuna mambo mengi ambayo unaangalia na kubwa likiwa ni bei ya bidhaa.Hawa jamaa wame operate kwa hasara mwaka mzima, kama walishindwa kupunguza bei ili waweze kushindana maduka mengine ni lazima ilikuwa nje ya uwezo wao.Acha wajiondokee tuu nao walikuwa wanatukamua sana!.
Sababu mojawapo ya hili duka kufunga milango lipo kwenye hii post yako...Hakuna duka lolote wanaweza kuagiza Levis kutoka LS&CO na wakalipa kodi halafu wakafaniwa kuuza kwa 50,000 lazima awe ni Mchina na kukwepa kodi.Haya maduka makubwa yatakuja na kuondoka hata kama kodi za pango zikishuka kama serikali haita dhibiti bidhaa feki na ukwepaji kodi.Mimi nina six kids, (3 girls na 3 boys) last December ile nyingine, nilitoka na family for X-mass shopping, nikaanzia W-Store pale mjini, nilipata vitu vya maana vya only small ones. Takaingia duka la pili lile la jeans za Levi Straus, ndio hili la hawa jamaa, kabinti kakapenda jeans, kuuliza bei naambiwa TZS 138,000, binti anang'ang'ania kuwa etiu ni fashion ya sasa iliyotoka na mama yao akasupport, Kaka yake na dada yake ambao ni ma teenager, wakashauri "Dada kama ....anaitaka jeans hiyo, nipe 50,000 tuu nikamnunulie mahali!. Kusema ukweli tulitoka bila kununua chochote humo ndani!.
Maadam wale wawili wadogo wameshapata nguo, wale wawili wakubwa wakaomba wapewe pesa wao na waende na wadogo za "mahali" wakawanunulie nguo. Niliwapa, japo concern ya mama yao, wasije wakatinga Kariokoo kutuzolea mchina, my boy akasema no, mchina tunamjua, wee leta pesa tunakuja na nguo za ukweli!. Kilichofua walirudi na nguo za ukweli za level ile ile ya maduka makubwa!. Ndipo wakasema kuna viduka tuu mitaa vinaleta nguo za ukweli na bei ni poa!. Kama ni hivyo, nani aende Mlimani city akachinjwe?
Dont worrym Kariakoo soko linavunjwa very soonkuna ukweli fulani lakini kuna vitu havijazungumzwa.....
culture...........
wakenya siku nyingi wana western culture hata kwenye shopping....
vitu kama nyanya za kopo na kwenda supermarket kenya ni kawaida....
Tanzania kuna culture ya east zaidi .....bazaar culture......hata india hakuna malls nyingi kama south africa...
infact Kenya ina MALLS nyingi na miaka miingi kuliko India......
sasa sisi wa TZ ukitaja tu Kariakooo......nchi nzima anaelewa unazungumzia nini....
the largest shopping mall aka bazaaar shops in africa maybe......