Mimi ni msichana wa miaka 24 nipo chuo kwa sasa, natafuta mchumba awe na kazi yake ila siyo mwalimu asiwe mfupi wala mrefu mengine tutawasiliana baada ya kufahamiana.
Ndoto za watoto wa chuo bhana&!!
wao wanawazaga kumaliza chuo kuolewa na mtu mwenye hela, gari, nyumba nzuri n.k.
wanasahau kuwa mtaani.com ni elimu nzito kuliko huko waliko.
Alafu kudate mtoto wa chuo ni kujitafutia usumbufu tu. hawa ni kuwalisha chipsi na redbull na kuwagegeda aafu kesho anakuja na rafiki yake ambaye unampindua keshokutwa na msululu unaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.