mkuu nmeidownload hyo lkn naiopen kwa baadh ya apps haifunguk!!labda prog gn inafaa kuifungua?natumia android
baada ya simu za java na symbian now tujaribuni kutumia vodacom free internet kwa android.
Ch kwanza download operamini apk handler kutoka link hio apo chini
Next Generation Mobile Software
Hio opera ina trick 2 za kupata net bure.
trick ya 1
Tengeneza setting hizi katika simu yako
Unaweza tumia existing access point au ukacreate new access point
Access point name (apn) eka internet
Ip eka 80.239.242.253
Port eka 80
Ukimaliza fungua opera handler yako uliyo download
Shuka chini proxy type eka http na proxy server andika 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
trick ya 2
Trick hii ni rahisi tumia access point yako ya kawaida halafu fata maelezo haya
Uta open opera hadler ulodownload
Proxy type eka real host
Proxy server eka 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
NOTE: trick ya kwanza ni ngumu kueka ila ina faida unadownload files kubwa (zaid ya mb 100)
Trick ya pili ni rahisi ila utadownload file ndogo kama miziki na short clips mb 5 hivi
Mkuu mimi natatizwa najinsi kutumia application ya Samsung ap je nifanyeje naomba msaada
Ndiyo ipo nyingine inaitwa Samsung application
baada ya simu za java na symbian now tujaribuni kutumia vodacom free internet kwa android.
Ch kwanza download operamini apk handler kutoka link hio apo chini
Next Generation Mobile Software
Hio opera ina trick 2 za kupata net bure.
trick ya 1
Tengeneza setting hizi katika simu yako
Unaweza tumia existing access point au ukacreate new access point
Access point name (apn) eka internet
Ip eka 80.239.242.253
Port eka 80
Ukimaliza fungua opera handler yako uliyo download
Shuka chini proxy type eka http na proxy server andika 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
trick ya 2
Trick hii ni rahisi tumia access point yako ya kawaida halafu fata maelezo haya
Uta open opera hadler ulodownload
Proxy type eka real host
Proxy server eka 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
NOTE: trick ya kwanza ni ngumu kueka ila ina faida unadownload files kubwa (zaid ya mb 100)
Trick ya pili ni rahisi ila utadownload file ndogo kama miziki na short clips mb 5 hivi
Mbona mm inaniandikia "web unavailable or permanently moved?"
natumia huawei y300
shikamooo.Hii samsung App si kama play store tu??..ama ipo nyingine.
shikamooo.