Trick ya voda free net kwa Android phones

Panda kibajaji twende (click kibajaji)

[post=4509821]
images
[/post]

Hahaha, chief umetisha na kibajaji clicking...
 
baada ya simu za java na symbian now tujaribuni kutumia vodacom free internet kwa android.

Ch kwanza download operamini apk handler kutoka link hio apo chini

Next Generation Mobile Software

Hio opera ina trick 2 za kupata net bure.

trick ya 1

Tengeneza setting hizi katika simu yako
Unaweza tumia existing access point au ukacreate new access point

Access point name (apn) eka internet
Ip eka 80.239.242.253
Port eka 80

Ukimaliza fungua opera handler yako uliyo download

Shuka chini proxy type eka http na proxy server andika 0.facebook.com

Ur done enjoy free net

trick ya 2

Trick hii ni rahisi tumia access point yako ya kawaida halafu fata maelezo haya

Uta open opera hadler ulodownload
Proxy type eka real host
Proxy server eka 0.facebook.com

Ur done enjoy free net

NOTE: trick ya kwanza ni ngumu kueka ila ina faida unadownload files kubwa (zaid ya mb 100)

Trick ya pili ni rahisi ila utadownload file ndogo kama miziki na short clips mb 5 hivi


inakuaje nashindwa kuinstall iyo operamini ikiwa zipped...naiunzip lakini bado nashindwa kuiinstal
 
inakuaje nashindwa kuinstall iyo operamini ikiwa zipped...naiunzip lakini bado nashindwa kuiinstal

Me mwenyewe naface the same problem, nkiliunzip ilo file thn yanakuja mafile kadhaa ambayo yote hayafunguki.. msaada jaman 2pate uhondo na sisi
 
Me mwenyewe naface the same problem, nkiliunzip ilo file thn yanakuja mafile kadhaa ambayo yote hayafunguki.. msaada jaman 2pate uhondo na sisi

kuna file linakua zipped na kuna file linakua renamed liwe zip (kuavoid mambo ya copyright)

so kwanza unzip file ukiona yanakuja mengi kama unavosema kama file manifest na classes then rename file lako

mfano file linaitwa firewall.zip rename liwe firewall.apk then jaribu kuinstall maybe itasaidia

-then la muhimu zaidi make sure una simu ya android
 
kuna file linakua zipped na kuna file linakua renamed liwe zip (kuavoid mambo ya copyright)

so kwanza unzip file ukiona yanakuja mengi kama unavosema kama file manifest na classes then rename file lako

mfano file linaitwa firewall.zip rename liwe firewall.apk then jaribu kuinstall maybe itasaidia

-then la muhimu zaidi make sure una simu ya android

Mkuu nna android.. Nmefanya ka ulivosema apo juu. Nikiopen ilo file la .apk installation inaanza freesh ila mwisho wa siku inagoma mwishoni.. inaeleta ujumbe kwamba "not installed" wacha niendelee kujarib jarib nkifanikiwa ntarudi..! all in all shukrani
 
Badala ya kujadili ku create something new katika njanja ya technology mnawaza kuiba tu...
Akili za mbayuwayu changanya na zako
 
nmedownload kwnye android,lkn cjui hyo file naifungua kwa app gn? office suite,html viewer zmezingua,,.
 
Back
Top Bottom