Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Bulesi asulubiwe! asulubiwe! ale BAN! ale BAN!Bulesi, kumfananisha member yoyote wa jf na jina lolote ni kosa la name calling na adhabu yake ni ban!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bulesi asulubiwe! asulubiwe! ale BAN! ale BAN!Bulesi, kumfananisha member yoyote wa jf na jina lolote ni kosa la name calling na adhabu yake ni ban!.
Eti na wewe ka avata kako anaonekana demu mremboooo kumbe......!!!!Mimi niliwahi kumsikia akitangaza mpira,kama jana alitangaza kwa kweli inauma sana.Halima tutakukumbuka kwa sauti uliotuachia
Mayalla, hii imenigusa sana natamani watanzania wengi tungekuwa na upendo huo wa kutanguliza utanzania wetu na uafrika wetu badala ya udini. Pole sana, wape pole ndugu wengine, nakumbuka jinsi Mwalimu wangu wa Mass Communications pale SAUT alivyokuwa anamsifia Halima kwa ujasiri wake wa kutangaza mpira na hata juhudi zake kikazi maana kuna wakati mwalimu wangu huyo ali wahi kuwa Mkurugenzi wa Halima! Poleni sana.Mkuu Ngongo ni kweli, ni kweli hatukua dini moja wala kabila moja na nilikaribishwa kwao.
Ni kweli heshima kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwezesha watu wa makabila tofauti kuishi pamoja kama ndugu na kusaidiana zaidi ya ndugu!.
Japo mimi ni Mkiristu wa RC, nilipokaribishwa nami nilimkaribisha rafiki Muislamu, Aboubakar Liongo na tuliishi kama ndugu. Wakati wa mwezi Mtukufu wenzangu walifunga, wakati wa kufuturu nilikaribishwa nikafikia wakati hata kula home naona noma mpaka nikaja kujikuta na mimi nafunga kiukweli na kufuturu kiukweli na hata mambo ya ujana kipindi cha mwezi Mtukufu ilikuwa no!.
Hawa wamekuwa nibzaidi ya ndugu, nilipopata ajali, Da Mwajuma alijitoa sana by then Halima alishapata stroke!.
Baada ya ajali yangu na matibabu ya Afrika Kusini na India kutoketa matokeo mazuri, Abou nae alinikaribisha Ujerumani kujaribu maana hao ni mabingwa wa tiba. Huu ni uthibitisho wa upendo wa dhati kwa sisi Watanzania bila kujali dini wala makabila yetu.
Asante Ngongo!.
Kolero, asante, huyo atakuwa ni Nkwabi Ngwanakilala, batch yangu ya watangazaji 12, ndiyo ilikuwa batch ya mwisho ya David Wakati (RIP) akiwa mkurugenzi, ndipo akaingia Nkwabi, na ndiye aliyewaajiri akina Halima. Hata hiyo flat ya Ilala tuliokuwa tunakaa na Halima, ni Nkwabi aliidhinisha ofisi itulipie kodi, maisha wakati wa Nkwabi yalikuwa mazuri sana, baada tuu ya Mkwabi kuondoka, yale mambo mazuri yote yalisitishwa, hali iliyopelekea watangazaji zaidi ya 15 tukatimka!Mayalla, hii imenigusa sana natamani watanzania wengi tungekuwa na upendo huo wa kutanguliza utanzania wetu na uafrika wetu badala ya udini. Pole sana, wape pole ndugu wengine, nakumbuka jinsi Mwalimu wangu wa Mass Communications pale SAUT alivyokuwa anamsifia Halima kwa ujasiri wake wa kutangaza mpira na hata juhudi zake kikazi maana kuna wakati mwalimu wangu huyo ali wahi kuwa Mkurugenzi wa Halima! Poleni sana.
Mayalla ni kweli ni huyo na alikuwa anajisikia vizuri sana kusikia kijana wake akichapa kazi kivile na hasa kuwa Mtangazaji wa kike wa kwanza katika sehemu yetu hii kutangaza mpira na kwa uhakika vile, any way, Halima alikuwa role model kwa wasichana wa darasa langu pale Nkwabi alipokuwa anawahusia wasichana wakati wote ku-aim higher na kujaribu daima hata kile ambacho kinafikiriwa si uwezo tu peke yake unatakiwa bali uwe mwanaume ndipo ufanye.Nina uhakika Mwalimu wangu habari hizi amezipokea kwa masikitiko ila basi hatuna jinsi, ni kumshukuru Mungu kwa maisha ya Halima ya hapa duniani, tuendeleze yale tunayoyaweza tunayojifunza kutoka kwake.Kolero, asante, huyo atakuwa ni Nkwabi Ngwanakilala, batch yangu ya watangazaji 12, ndiyo ilikuwa batch ya mwisho ya David Wakati (RIP) akiwa mkurugenzi, ndipo akaingia Nkwabi, na ndiye aliyewaajiri akina Halima. Hata hiyo flat ya Ilala tuliokuwa tunakaa na Halima, ni Nkwabi aliidhinisha ofisi itulipie kodi, maisha wakati wa Nkwabi yalikuwa mazuri sana, baada tuu ya Mkwabi kuondoka, yale mambo mazuri yote yalisitishwa, hali iliyopelekea watangazaji zaidi ya 15 tukatimka!
Aliyenikaribisha ni dada yake Halima, anaitwa Da Mwajuma. Ni kweli kukaribishwa kuishi sio upangaji, ni more than upangaji, japo sijafanya utafiti rasmi lakini fanya utafiti utagundua its not easyPaskali mayala poleni sana......
...ila sasa hivi katika taarifa ya habari naona umesema halima alikukaribisha kuishi nae japokuwa wewe hukuwa muislamu....mhh sikutegemea kama ungeweka hilo neno hapo.....ina maana hizi deen hawakai pamoja???
Mhe. Regia Mtema asante. Nilisoma TSJ na Bonga Bar ndio palikuwa outing yetu pale next to Priva!.
Mimi najihesabu ni mtoto wa Ilala tangu nasoma TSJ miaka yangu 10 ya ujana imekatikia Ilala.
Huyu Halima Mchuka na dada yake Mwajuma kwangu ni zaidi ya ndugu!
Huyu ni mwanamke wa shoka kama ulivyo wewe Mhe. Regia!.