Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
bado wajichanganya majibu nshakupa
ticketi unaweza kukata kwa siku au wiki au mwezi
kama huna hakuna kupanda treni hatuko katika dunia ya ujamaa kwa sasa
huwezi kuchukulia tatizo la mahali fulani ukalinganisha na mahali pengine
kujaribu kutuhubutu jambo ndio kinachotusumbua watanzania hatutaki kuthubutu bali kuwa na visingizio vingi
kama wewe.
ticketi unaweza kukata kwa siku au wiki au mwezi
kama huna hakuna kupanda treni hatuko katika dunia ya ujamaa kwa sasa
huwezi kuchukulia tatizo la mahali fulani ukalinganisha na mahali pengine
kujaribu kutuhubutu jambo ndio kinachotusumbua watanzania hatutaki kuthubutu bali kuwa na visingizio vingi
kama wewe.
wewe ndio unapotosha hoja, mimi sijapinga ila nimetoa changa moto nipinge jambo zuri kama hilo kwa lengo gani?
hayo yote uliyoandika yapo sijui ticket machine reader kivukoni ferry ipo iliwekwa sasa kaangalie kama inatumika na magari na watu bado wanajichanganya, nenda Ubungo bus terminal kuna milango iliwekwa ya kuzunguka lengo likiwa ni kuruhusu mtu mmoja kwa kwa wakati lakini wameifunga na kamba na haizunguki na watu wote wanagombania kupita na wengine bila tiketi na vyote hivyo chini ya wizara hiyo hiyo kama sikosei sasa kwa nini nisihoji ufanisi wa hiyo treni?