Hizi zinaitwa tik tak danganya toto.yaani filamu za nchi hii zinashangaza, afu naibu waziri anasema apewe ripoti baada ya wiki 2?
Mie nilidhani ataomba ndani ya siku 2 au 3.
Afu bohari ya serikali wamechakachua wese magari yanazimika.
Afu january ndo msemaji wa sekta hiyo au ni kule kuwa mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini?
Why not Ngereja kuongelea hilo?
Wanajaribu kuficha nini.
Yaani hapa kuna bonge la filamu, stering awe densel washngton.
yaani filamu za nchi hii zinashangaza, afu naibu waziri anasema apewe ripoti baada ya wiki 2?
Mie nilidhani ataomba ndani ya siku 2 au 3.
Afu bohari ya serikali wamechakachua wese magari yanazimika.
Afu january ndo msemaji wa sekta hiyo au ni kule kuwa mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini?
Why not Ngereja kuongelea hilo?
Wanajaribu kuficha nini.
Yaani hapa kuna bonge la filamu, stering awe densel washngton.
Utayaona ya Firauni
Halafu january mie aijaelewa ameongea kwa niaba ya tanesco akiwa kama nani.....uwenyekiti wa kamati una mamlaka gani ya kuongea as if yeye ndo MD wa Tanesco??????
mie sijui nani kampa kiburi kikubwa hivi huyi bwana mdogo.
Anaonekana ndo anaendesha wizara ya madini.