Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Siku chache tangu treni ya reliya kati kuanza kufanya kazi baada ya kusimama kwa muda wa takribani miezi sita kufuatia kuharibika kwa miundo mbinu ya reli hiyo, kuna habari kuwa treni hiyo katika safari yake ya hivi karibuni kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma treni hiyo iliharibika njiani mara 30.
Kwa mujibu wa mmoja wa abiria iliyesafiri na treni hiyo waliondoka Dar siku ya Ijumaa jioni na walitegemea kufika kigoma siku ya jumapili saa 4 asubuhi, lakini injini ya treni hiyo ilikuwa ikiharibika hovyo njiani na tatizo kubwa ilielezwa kuwa ilikuwa ikichemsha na mtokeo yake treni hiyo iliwasili kigoma jumapili saa 3.15 usiku badala ya saa 4 asubuhi.....
My take:
Sijui kama kweli serikali yetu ina nia ya kuifanya reli ya kati kuwa imara au ndio kampeni za kuwajaza watanzania ujinga ili sisiem wapate kura oktoba maana lazima wakiwa majukwaani wataanza longolongo zao.
Kwa mujibu wa mmoja wa abiria iliyesafiri na treni hiyo waliondoka Dar siku ya Ijumaa jioni na walitegemea kufika kigoma siku ya jumapili saa 4 asubuhi, lakini injini ya treni hiyo ilikuwa ikiharibika hovyo njiani na tatizo kubwa ilielezwa kuwa ilikuwa ikichemsha na mtokeo yake treni hiyo iliwasili kigoma jumapili saa 3.15 usiku badala ya saa 4 asubuhi.....
My take:
Sijui kama kweli serikali yetu ina nia ya kuifanya reli ya kati kuwa imara au ndio kampeni za kuwajaza watanzania ujinga ili sisiem wapate kura oktoba maana lazima wakiwa majukwaani wataanza longolongo zao.