Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha aliposema kwamba shule zote za msingi ziunganishwe kwenye mkongo wa taifa. Jk ni nouma brother Mbuzi Mzee.
Uchaguzi ujao mchagueni Slaa ili kila mkulima apewe tractor!Kama kungekuwa na maendeleo hii kitu sasa hivi isingekuwa inatumika kwa kilimo. Toka enzi za Nyerere mpaka leo hii. Tunajisifia tunasonga mbele tunakoenda wapi kama bado tuko kwenye jembe la mkono kwa asilimia kubwa?
Umenikumbusha aliposema kwamba shule zote za msingi ziunganishwe kwenye mkongo wa taifa. Jk ni nouma brother Mbuzi Mzee.
Uchaguzi ujao mchagueni Slaa ili kila mkulima apewe tractor!
Kama kungekuwa na maendeleo hii kitu sasa hivi isingekuwa inatumika kwa kilimo. Toka enzi za Nyerere mpaka leo hii. Tunajisifia tunasonga mbele tunakoenda wapi kama bado tuko kwenye jembe la mkono kwa asilimia kubwa?
bwahahahahahahahahahahahahahahaha aiseeeeeeeeeeeeeee huyu mtu ni kavunja rekodi......Umenikumbusha aliposema kwamba shule zote za msingi ziunganishwe kwenye mkongo wa taifa. Jk ni nouma brother Mbuzi Mzee.
Uchaguzi ujao mchagueni Slaa ili kila mkulima apewe tractor!