Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Bei ya Mbao 2 x 4 ni bei gani?
NA 2 X 2 BEI YAKE KWA MOJA ?
Mkuu jina la kottler na utangazaji wako wa biashara haviendani! kama ulivyoweka size za mbao, ungetuwekea na bei zake watu wakajua wakipiga simu haitokuwa upotevu wa vocha.
Watu kama hawa wanaoogopa kuweka bei mara nyingi huwa si reliable! Na wanaweza hata kukutapeli, kwanini uogope kuweka bei kama unajiamini biashara yako ni genuine?
Nashukuru Mdau kwa mchango wako.
Mimi nina uhakika kwamba mnunuzi hua anaanza kwa kutafuta taarifa(information searching) pindi anapokua na uhitaji wa huduma ama bidhaa flani.
Mbao zetu zina ubora unaotumika Tanesco na Makampuni Makubwa ya Ujenzi nchi nzima pia tuna identity ya National Tenderer, Isitoshe pia tunalipa Mishahara, Pension contribution,VAT na Kodi Nyenginezo,so hakuna UTAPELI hapa!
Shukrani kwa mdau wa jf GTesha kwa kuniPM na tayari tumeshazungunza nae na tumejua mahitaji yake (BUYER'S NEEDS) TUNASUBIRI tu purchase decision toka kwake.
NB: MBAO HAZIUZWI KAMA MASHATI YA PALE MANZESE,TUNATUMIA VIPIMO(RUN METERS) KUPATA BEI. MATAPELI NDO WANAUZA KWA FIXED PRICE.
Kama kweli biashara yako ni kubwa hivyo basi nawashauri mtafute competent marketing manager/ officer ili asaidie kuweka mambo sawa! Hivi wewe unadhali online marketing ni kitu kinachofanywa kienyeji kumshawishi mtu ambaye humuoni na huongei naye
Sawa Dad,najua unaongelea advertising ambayo ni just one of marktng comm tools ambayo ni paid, we are sales oriented coy so tunatumia unpaid tools such as personal selling (soft selling efforts) na hiyo ni kulingana na nature ya biashara yetu,tunao permanent wateja,so hapa Jf ni pa kufanyia prospecting tu na si pahala pa kuuzia mzee.
Wazo lako zuri ila kama na wewe ni COMPETENT MARKETER nirushie CV yako nikupe kazi.