Travelling in Kenyan car through Serengeti

Huu unafiki wa Wabongo ndio mimi huwa unaipa shida sana, nyie mkifanya inakua swa, wengine tukijibu mnalialia na kulalamika. Huku kutwa mnaweka mabango ya mapicha ya Turkana ya miaka ilee ya zamani, tukileta mada za mabadiliko yanayoendelea kule maeneo hayo ya Turkana mnabishia na kusisitiza kwamba hamna jipya.

Ieleweke nchi zetu hizi kwa leo zinapiga hatua kubwa sana, tulioyaona kipindi kile sio ya leo. Mwenyewe nimesafiri kwenda Ngorongoro nikitokea Arusha na kupitia Karatu miaka michache imepita. Aisei kuna safu ya hiyo barabara ilikua noma, yaani mbaya kabisa. Hata kusinzia kwenye gari ikawa shida, kama wamerekebisha leo, nawapa hongera.
Some double standards at their best. Very few Tanzanians here comment frankly and objectively, with many Kenyans to be fair also joining the band.

Hebu angalia baada ya Geza kutupa picha za barabara hio the comments that have been made. Compare that na zile comments katika uzi wa "The changing face of marginalized Kenya", haswa baada ya picha za Lodwar
 
Some double standards at their best. Very few Tanzanians here comment frankly and objectively, with many Kenyans to be fair also joining the band.

Hebu angalia baada ya Geza kutupa picha za barabara hio the comments that have been made. Compare that na zile comments katika uzi wa "The changing face of marginalized Kenya", haswa baada ya picha za Lodwar
Frank what i can't praise a 6 km road! Sorry i'm not that nationalists! I praise a road that connects regions and countries! above 200 km!
 
Frank what i can't praise a 6 km road! Sorry i'm not that nationalists! I praise a road that connects regions and countries! above 200 km!
So you ignore the 600km road from Isiolo to moyale, or even the very same kitale-lodwar-nadapal road that's about 100km done having started 5th of Sept last year. If you truly don't praise them then why soil them with disapproval at first then after confirmation disregard and dismissal of it not being 'important'

That 6km urban road was to enable movement within the township since twajua barabara za afrika hupita tu mji, ndani ya mji mwenyewe tope na vumbi tupu. It was built in anticipation of the one coming from kitale ambayo imefika pokot ipitie huko hence why ilianza after the kitale-lodwar-nadapal Highway was u/c
 
Back
Top Bottom