TRA's Kitilya to retire from public service, Blandina Nyoni or Dr. Dau to take over...

WanaJF serikali yetu ilijiwekea utaratibu kwamba nafasi za mashirika/mamlaka makubwa kama TRA, TANROADS, SUMATRA, EWURA, n.k zitangazwe ili watu wapatikane kwa ushindani. Tumeona wakurugenzi wa mamlaka nyingine wakipatikana kwa njia ya matangazo (TANESCO, TANROADS) sasa inakuwaje huyu wa TRA apewe tu kwenye sahani ya dhahabu?

Dr. Dau si anaimiliki NSSF sasa TRA ya nini tena? Blandina alishafanya kazi huko TRA siijui record yake. Lakini kwa nini tusipate damu mpya kama ni kupeana kwenye sahani ya dhahabu kuna watu kama akina Dr. Mussa Assad kwa nini nao wasifikiriwe?
 
WanaJF serikali yetu ilijiwekea utaratibu kwamba nafasi za mashirika/mamlaka makubwa kama TRA, TANROADS, SUMATRA, EWURA, n.k zitangazwe ili watu wapatikane kwa ushindani. Tumeona wakurugenzi wa mamlaka nyingine wakipatikana kwa njia ya matangazo (TANESCO, TANROADS) sasa inakuwaje huyu wa TRA apewe tu kwenye sahani ya dhahabu?

Dr. Dau si anaimiliki NSSF sasa TRA ya nini tena? Blandina alishafanya kazi huko TRA siijui record yake. Lakini kwa nini tusipate damu mpya kama ni kupeana kwenye sahani ya dhahabu kuna watu kama akina Dr. Mussa Assad kwa nini nao wasifikiriwe?


Huyo bora wampeleke PSPF
 
Wasipompa Dau itakuwa ni kumuonea kweli, lazima apewe kwa kweli. Itashangaza na kusikitisha. Upande mwingine jina ambalo halijatajwa yaweza kuwa Dr. Idris Rashid naye ni mtu ambaye anaweza kuisaidia TRA sana.

Talk about udini, kwanini isiwe " Wasipompa Nyoni itakuwa ni kumuonea kweli, lazima apewe kweli. Itashangaza na kusikitisha.
Upande mwingine jina ambalo halijatajwa yaweza kuwa Dr Charles Kimei naye ni mtu ambaye anaweza kusaidia TRA"
 
Talk about udini, kwanini isiwe " Wasipompa Nyoni itakuwa ni kumuonea kweli, lazima apewe kweli. Itashangaza na kusikitisha.
Upande mwingine jina ambalo halijatajwa yaweza kuwa Dr Charles Kimei naye ni mtu ambaye anaweza kusaidia TRA"


Cha kujiuliza akina nani watafurahi na uteuzi huu?
 
kwa nini tusijadili kwa kuangalia kati ya hawa wawili performance zao zikoje tangu wapate nyadhifa walizopewa?

Mkuu kwani hawa wawili tu ndio watanzania ambao wanastahili kuiongoza TRA? Kama tunataka kuitendea haki hiyo nafasi sisi kama jamii tunatakiwa tuorodheshe majina ambayo tunadhani yanafaa na kisha tuyajadili kwa kina moja baada ya jingine.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kuna mchezo mchafu anafanya Mzee Luhanjo pale Ikulu wa kuhakikisha wahehe wanachukua nafasi za juu nyingi kabla haja staafu. Kwa haraka haraka teuzi za karibuni zenye mrengo wa Iringa ni pamoja na Mfugale DG Tanroads, Eliud Sanga DG LAPF, Msechu DG National Housing tena huyo Msechu ni mtoto wa dada yake kabisaaa mtu na mjomba wake hao. Kibaya zaidi hata interview hakufanya (rejea thread ya DG wa NHC.

Hivyo basi piga ua huyo Dau msindikizaji tu hapo nafasi ya Mama Nyoni kwa kuwa tu ni Mhehe!. Mzee Luhanjo unatupeleka siko chonde chonde jamani hapo TRA wapo ma kamishna wenye rekodi nzuri tu wapeni hao au kwa kuwa hakuna mhehe?
 
uch1.JPG


+

banjako.jpg


+

Blandina-Nyoni1.jpg



=


Mexi+gang+two.png
 
Talk about udini, kwanini isiwe " Wasipompa Nyoni itakuwa ni kumuonea kweli, lazima apewe kweli. Itashangaza na kusikitisha.
Upande mwingine jina ambalo halijatajwa yaweza kuwa Dr Charles Kimei naye ni mtu ambaye anaweza kusaidia TRA"

Mkuu uwezo wa Dr. Kimei ni kuanzisha organization ndogo na kuifikisha mahala fulani na si kuendeleza organization ambayo ni kubwa kama TRA. Dr. Kimei ameisimamisha CRDB na sasa baada ya CRDB kuwa kubwa inaonekana uwezo wa Dr. Kimei umekoma kwa kuwa naona kama CRDB haina jipya tena na huenda ikaanza ku decline. Kwa hiyo kumpa TRA ambayo ni kubwa nadhani itakuwa mzigo kwake. Huyu anastahili apewe ka benki kadogo ili akakuze kawe ma CRDB.
 
Please,give me a break,f.u.c.k the Union bullshit!.
Natamani Kipindi hiki kiwe cha Wazanzibar, Kwani hii Office si ya Muungano ama Vipi? , Nahisi Rais analifikiria hilo pia. Kwanini kila siku ni hao hao tu akina Dau, Blandina kwani wengine hakuna , Hata Wazenj wenye sifa wapo na wanaweza kukamata hii nafasi vile vile.
 
Kuna mchezo mchafu anafanya Mzee Luhanjo pale Ikulu wa kuhakikisha wahehe wanachukua nafasi za juu nyingi kabla haja staafu. Kwa haraka haraka teuzi za karibuni zenye mrengo wa Iringa ni pamoja na Mfugale DG Tanroads, Eliud Sanga DG LAPF, Msechu DG National Housing tena huyo Msechu ni mtoto wa dada yake kabisaaa mtu na mjomba wake hao. Kibaya zaidi hata interview hakufanya (rejea thread ya DG wa NHC.

Hivyo basi piga ua huyo Dau msindikizaji tu hapo nafasi ya Mama Nyoni kwa kuwa tu ni Mhehe!. Mzee Luhanjo unatupeleka siko chonde chonde jamani hapo TRA wapo ma kamishna wenye rekodi nzuri tu wapeni hao au kwa kuwa hakuna mhehe?

Duh mkuu ahsante kwa kutufumbua macho. Wengine huwa hata hatuangalii kwa kina namna hiyo. Hizi tetesi nilizisikia siku moja nakunywa pombe sehemu fulani sikuzitilia maanani. Nikasikia tena ati anavuruga Chuo cha Ustawi wa Jamii kwa minajili ya kuweka mtu wao nazo sikuzitilia maanani kwa kuwa nilikuwa nimepata funda la ziada!
 
Kikwete: Prosecute inputs thieves


0811cnjkcf44.jpg



PRESIDENT Jakaya Kikwete on Monday directed that legal action should be taken against people who were involved in stealing subsidised agricultural inputs, saying they have sabotaged a government programme aimed at supporting farmers .... ..... ...

Lazima apewe Dau kwa sababu kazi anayoifanya pale NSSF ni ya kutukuka. Amewawezesha mafisasdi kadhaa kuchuma wasichopanda na ameweza kutatua matatizo lukuki pale. Hii itaweza kuboresha uhusiano mwema uliopo kati ya kambi ya waislam na wakristo bila kusahau mshikamano madhubuti kati ya walionacho na wahongaji wakuu katika sekta ya kuinua uchumi wa Tanzania. Hongera sana fisadi papa Watanzania watakuenzi tu usiwe na shaka.

Wakati Fisadi papa anafungua na kushangaa migomba ya ndizi kule Idodomia jana alisema waliokwapua pembejeo wachukuliwe hatua, napenda kumsifu kwa hilo kwani TRA pamoja na NSSF na swaiba wake mkuu EL, RA, pamoja na Chenge wamechukuliwa hatua ya kujivua gamba bila kushitakiwa, chacha iwaje wezi hawa wadogo wa kuku wachukuliwe hatua? Vipi waliokwapua BOT, Dowans, IPTL etc. Huyu Fisadi papa yuko very serious.
 
Wasipompa Dau itakuwa ni kumuonea kweli, lazima apewe kwa kweli. Itashangaza na kusikitisha. Upande mwingine jina ambalo halijatajwa yaweza kuwa Dr. Idris Rashid naye ni mtu ambaye anaweza kuisaidia TRA sana.

Wakati mwingine Mwkjj mabandiko yako kama ya kutega vile? Tunajua wengi ndani ya public service wachapa kazi wa kweli kama wapo ni wachache sana, lakini hata ndani ya kapu la maharage yaliyobunguliwa, mwenyewe atajaribu kuchambua aone yanye afadhali kidogo.

Tofauti na hilo, ni kuzungumzia atafutwe daktari afanye complete overhaul ya mfumo mzima.
 

kuna mtu hapo juu kasema kuwa mwanae kapewa tenda ya kusupply suti pale wizarani sidhani kama kuna ukweli kwenye hili maana nijuavyo mie kuwa yule dogo tangu aoe mdhungu huko USA hana shida ya kugombania tenda za suti

Lakini pia tusisahau kuwa huu huyu Blandina allipokuwa Accountant General alikuwa hana uhusiano mzuri na TDPF lakini nyepesi nyepesi ni kuwa alikuwa anafanya mambo ambayo yalikuwa yanaweza kusomeka kama treason sijui kile kimbembe chake kiliishia wapi


Zaidi ya hayo kuna habari amekuwa akimpiga presha JK ampe cheo kikubwa zaidi kwani vyeo alivyopewa ni chini ya "standards zake"

BTW ...Hivi JUMANNE MAGHEMBE bado anaendelea kula mzigo au keshaachia?


 
Dr.Dau ana misimamo mikali sana hapendi kuharibiwa kazi,aliKua mkurugenzi wa idara fulani TPA na alimuambia mkurugenzi mkuu wakati huo Samson Luhigo kuwa anaitaka hiyo nafasi kwa kua Luhigo kashidwa kuimmudu baada ya hapo akapigwa zegwe na kuondolewa TPA.

Ilitokea Mkapa akiwa nje ya nchi ndipoMar.Dr Omar Juma akikaimu urais ndipo akamchagua Dau kuwa mkurugenzi NSSF nafasi ambayo ilikua wazi,kitendo hichi kilileta maneno maneno lakini Mkapa mwishoni akatulia.Jamaa alipoingia NSSF akafpangua menejimenti na kuipanga upya kitendo kilichouzi watu wengi wa NSSF waliovuliwa madaraka wakidai ni mdini.

Kifupi jamaa ni mchapa kazi mzuri na msomi safi alishawahi kuwa mhadhiri UDSM,lakini yasemwayo yapo jamaa alishawahi kuwa mfadhili wa CUF miaka ya nyuma na chembe za udini zipo ila ni mzalendo na mpenda maendeleo.
 
anyway back to blandina

Huyu mama ni FISADI tena NYANGUMI kwani kila mtu anajua piga dili la Epicor to run government accounting, a software package better suited for manufacturing and distribution industries. Its no wonder the current CAG Ludovick Utouh is uncovering gross misappropriations in government accounting.

Mama Nyoni and local vendor Softech have reaped a lot of money from this deal - 2006-07 alone they have made up to USD 8-9 million in just training alone. She personally recommended Epicor and the local vendor Softech to the Malawi, Lesotho and Gambia governments, using government letterhead!

Visit many of the governmental parastatals in Dar and many say it is a hassle to work with this software, upgrades and training are expensive, customer service very poor, and if you get it, very expensive. She is gone now from Hazina where she ruled with an iron fist - and there began a mini stampede away from Epicor.

Tusisahau kuwa huyu asili yake kama alivyo mkulo, Luhanjo and the likes ni MALAWI
 
Back
Top Bottom