AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,893
Nimeona kwenye TV kuna mwekezaji anatuonyesha tena mapicha ya train za kisasa, sana anasema kuanzia mwakani zitaanza kufanya kazi.
Kuna wawekezaji fulani nimewaona wengine wana sura za kihindi (unakumbuka walichotufanya wahindi reli ya kati). Mwenye fununu tuhabarishe.
Kuna wawekezaji fulani nimewaona wengine wana sura za kihindi (unakumbuka walichotufanya wahindi reli ya kati). Mwenye fununu tuhabarishe.