Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Wana jamvi niko safarini kuelekea Mwanza lakini ninachokiona kwa matrafiki wetu kwanza ni usumbufu pili ni wizi au rushwa ya wazi. Tangu kutoka Arusha mpaka Babati tumeweza kusimamishwa zaidi ya mara 10. Majengo, Arusha AirPORT, KISONGO, DUKA BOVU, MTI MMOJA, MAKUYUNI, MINJINGU, MBUYU WA MJERUMANI, MAGUGU, KARIBU NA BABATI SIPAJUI NA AFTER BABATI NA SASA TENA DAREDA. Wanachofanya siku hizi ni wale agents ndiyo wanateremka na wala matrafic hawapandi kukagua gari. Gari imejaza watu wamekalia ndoo. Ni hatari kusema ukweli. Mungu nusuru waja wako.