Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ni habari ya uhakika kabisa ambayo nimeifanyia uchunguzi wa kutosha. Wakiingia kazini hawa askari wanapewa jukumu la kila mmoa hataruhusiwa kuondoka alipopangiwa hadi akamate magari 20 ambayo yatalipa notification ya 30,000 each! Tunapelekwa wapi?
Siyo kweli ilikuwa kila mmoja ni lazima akamate magari matatu ambayo yana makosa hasa kipindi kile cha foleni kubwa Arusha ambapo watu walikuwa wanatanua tu hasa kutoka Mbauda, Kisongo jambo ambalo siyo gumu kabisa maana kuna watu wana vichwa ngumu sana barabarani.
Na kwa kukujuza tu hilo ni agizo toka serikalini ili kupunguza makosa barabarani na kuongeza pato la taifa kwa kupitia fines & penalties.