Traffic wanaongoza magari kwa utashi wao bila kujali watumia barabara wana haraka gani.pia wanaruhusu oneway traffic kwa muda mrefu mpaka njia nyingine magari yanjicongest wakati taa mara nyingi huruhusu magari pande mbili at a go.nadhani wangefanya hivyo kunapokuwa hamna umeme tu kwani barabara zote zina priority na kwa muda wote watumiaji wa pande zoye wana haki sawa
hongera mjeshi kumshitua huyo traffic maana ndiyo njia pekee wanayoweza kuisikiliza
Wakati mwingine hawa trafiq polisia wanakera sana, nenda ubungo mataa, karume na hapo makutano ya mandela Rd na Nyerere Rd almaarufu bakhresa ndo utaelewa ****** wa hawa trafk polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.