4rm masaki 2 mbagala... kurikoni???
police wakiume apigwa kofi na kwenda chini na mwanajeshi wa kike kuchelewesha kuita magari hapa nipo mbagala rangi tatu
mwambie wewe mpenzi
i come to bukoba....oaoaoaoaLook at you is an offence mtu kwenda mbagala?
police wakiume apigwa kofi na kwenda chini na mwanajeshi wa kike kuchelewesha kuita magari hapa nipo mbagala rangi tatu
Nadhani wanajeshi ni miungu hapa bongo
police wakiume apigwa kofi na kwenda chini na mwanajeshi wa kike kuchelewesha kuita magari hapa nipo mbagala rangi tatu
Acha fix wewe mie nipo hapo hakuna tukio lolote,kuna trafik wawil wa kike hapa mbagala near bank wamesimamisha ka-vitz acha uongo wewe,kama mada huna endeleza mambo yako ya
kutofikishwa kileleni,kutafuta muhogo na kumpenda jk.
4rm masaki 2 mbagala... kurikoni???
ni ujinga wake huyo mama, naamini itamgharimu kabla hajaomba radhi tena kwa kupiga magoti
Traffic wanaboa sana hasa wanapoingilia traffic lights zinapokuwa zinafanya kazi.Cha ajabu, kama traffic lights hazifanyi kazi kwa vile hakuna umeme, unawaona na wao "wanaacha kufanya kazi" utadhani nao wanaendeshwa kwa umeme! I hate them!Traffic wanakera sometimes hasa linapokuja sual la kubalance magari,unaweza kuta ata class alikuwa kilaza wa kubalance chemical equation sasa ukija kwenye magari upande mmoja lazima ukeshe.
Lazima huyo askari wa kiume alikuwa amekesha kwenye kinywaji aina ya gongo vinginevyo haiwezekani !!!!police wakiume apigwa kofi na kwenda chini na mwanajeshi wa kike kuchelewesha kuita magari hapa nipo mbagala rangi tatu
Mkuu punguza ukali, Elewa kuwa jane ni mke wa mtu.