Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Wana FJ, Tahadhari wanaoendesha magari Bagamoyo road na kuchepukia service road hapo Namanga.
Traffik watega hapo. Wanachukua faini kwa wale wanaopita service road iliyo mbele ya Exim Bank. wanaweka vikosi viwili hapo kwa kazi hiyo. Hata uwe unaingia ATM, Dispensary ya Watoto au Jengo la Air Tel wanakudaka tu.
Ukiwauliza tafsiri ya service road wanasema ni barabara ya waenda kwa miguu.
Naomba mwongozo wa wana JF.
IGP sijui anakubaliana nalo hilo?. Jana wamechukua pesa zangu. Sioni mantiki yake kwani ni barabara pana ya lami inayoingiza watu kwenye ATM ya benki ya Exim, kuziba pancha, kununua matairi nk. Polisi kama taasisi ya serikali inatakiwa kutumikia vyema jamii. Otherwise few members Police department may be tarnishing the image of the force by poor understanding of the law. We call upon the IGP to make sure traffic policemen understands well the regulations and no misinterpretation.
Candid to my Country
Anonymous
Traffik watega hapo. Wanachukua faini kwa wale wanaopita service road iliyo mbele ya Exim Bank. wanaweka vikosi viwili hapo kwa kazi hiyo. Hata uwe unaingia ATM, Dispensary ya Watoto au Jengo la Air Tel wanakudaka tu.
Ukiwauliza tafsiri ya service road wanasema ni barabara ya waenda kwa miguu.
Naomba mwongozo wa wana JF.
IGP sijui anakubaliana nalo hilo?. Jana wamechukua pesa zangu. Sioni mantiki yake kwani ni barabara pana ya lami inayoingiza watu kwenye ATM ya benki ya Exim, kuziba pancha, kununua matairi nk. Polisi kama taasisi ya serikali inatakiwa kutumikia vyema jamii. Otherwise few members Police department may be tarnishing the image of the force by poor understanding of the law. We call upon the IGP to make sure traffic policemen understands well the regulations and no misinterpretation.
Candid to my Country
Anonymous