Tracing if the document has been copied

Fungua flash. Go to View > Details . Yatajipanga mafaili na mafolder. Right-click juu ya row ya Name. Utakuta baadhi ya options ziko checked (zimewekewa alama ya vema) kama vile Size, Type, Date Modified etc (PICHA A). Nakushauri uondoe hiyo check kwa zote ubaki na Name tu (PICHA B). Baada ya hapo nenda chini utakuta option ya More... Click hapo kwenye More na utapata PICHA C. Utakapopata hiyo check (weka vema) katika kibox cha Date Accessed, then OK. Mafaili yatajipanga na kuonyesha tarehe yaliyoguswa (accessed). Bosi wako akueleze yeye aliya access lini ili uone file lenye tarehe tofauti na ya bosi wako.
ASSUMPTION: Ninaassume unatumia Windows OS, na pia hakuna aliyeyafaccess mafaili baada ya flash kupatikana kutoka kwa "mwizi" wenu. Hii sio 100% solution, ni yangu tu na wengine pia mnakaribishwa.

picture.php


Uko deep kaka!!
 
Nice one hiyo inaweza kuonyesha kama lilifunguliwa au la lakini pia inategemeana na saa ya kompyuta hiyo kama mtu akibadili muda wa kompyuta husika na kufanya uharamia huo unaweza kukesha kutafuta hiyo kitu au kuna baadhi ya programu ambazo zinaweza kufuta baadhi ya traces ndio kwa kuangalia vitu kama hivyo tunahitaji tool box ambazo ndani yake kuna programu kama usb tracer na nyingine nyingi kwa shuguli kama hizo lakini angalia ukidownload programu hizo kwenda mtandao unaweza kuwa unasambaza aina fulani ya uhalifu ndio maana unatakiwa uangalie pia IT POLICY ya ofisi fulani inasemaje
 
Haiwezekani, inabidi upange systems kabla sio baada ya kutoa documents.

Njia rahisi kama unatumia Word 2007 mwambie bosi awe anaweka password (good password) kwenye hiyo document ambayo nyie wawili tu mtakuwa mnaijua.
Word 2007 inatumia encryption ambayo ni practicaly unbreakable.
 
Huyu jamaa kapewa dili na anaongopa kuwa bosi wake kamwagiza Wakenya ni wajanja ati mpeni utaalamu mwenzenu anufaike then ataanza kuwakejeli kuwa wa TZ mumelala
 
Fungua flash. Go to View > Details . Yatajipanga mafaili na mafolder. Right-click juu ya row ya Name. Utakuta baadhi ya options ziko checked (zimewekewa alama ya vema) kama vile Size, Type, Date Modified etc (PICHA A). Nakushauri uondoe hiyo check kwa zote ubaki na Name tu (PICHA B). Baada ya hapo nenda chini utakuta option ya More... Click hapo kwenye More na utapata PICHA C. Utakapopata hiyo check (weka vema) katika kibox cha Date Accessed, then OK. Mafaili yatajipanga na kuonyesha tarehe yaliyoguswa (accessed). Bosi wako akueleze yeye aliya access lini ili uone file lenye tarehe tofauti na ya bosi wako.
ASSUMPTION: Ninaassume unatumia Windows OS, na pia hakuna aliyeyafaccess mafaili baada ya flash kupatikana kutoka kwa "mwizi" wenu. Hii sio 100% solution, ni yangu tu na wengine pia mnakaribishwa.

picture.php

Mkuu senksi, this is very useful information, lakini bado haiwezi kuonesha whether mtu ame-copy or not what it tells is whether the file was used on not. Kama yeye mwenyewe boss alitumia siku hiyo, then mdau aka-copy still you can't tell
 
Nice one hiyo inaweza kuonyesha kama lilifunguliwa au la lakini pia inategemeana na saa ya kompyuta hiyo kama mtu akibadili muda wa kompyuta husika na kufanya uharamia huo unaweza kukesha kutafuta hiyo kitu au kuna baadhi ya programu ambazo zinaweza kufuta baadhi ya traces ndio kwa kuangalia vitu kama hivyo tunahitaji tool box ambazo ndani yake kuna programu kama usb tracer na nyingine nyingi kwa shuguli kama hizo lakini angalia ukidownload programu hizo kwenda mtandao unaweza kuwa unasambaza aina fulani ya uhalifu ndio maana unatakiwa uangalie pia IT POLICY ya ofisi fulani inasemaje

Shy acha mbwembwe zako!!
 
By the look of it, a need has arisen and as it goes, there is no easy solution on the market to date. The idea might have come about out of curiosity of a diffident boss. But here we are Great Thinkers; can't this "curiosity problem of the boss" inspire us all enough to make us collaborate and come up with a solution.

There are freely available tools to help us solve this conundrum. From APIs to USB protocol stacks. I really think that we can get down to task, come up with a solution and even be able to patent it (if no one else out there has stumbled upon this).

Naomba mawaidha yenu.

Steve Dii.
 
By the look of it, a need has arisen and as it goes, there is no easy solution on the market to date. The idea might have come about out of curiosity of a diffident boss. But here we are Great Thinkers; can't this "curiosity problem of the boss" inspire us all enough to make us collaborate and come up with a solution.

There are freely available tools to help us solve this conundrum. From APIs to USB protocol stacks. I really think that we can get down to task, come up with a solution and even be able to patent it (if no one else out there has stumbled upon this).

Naomba mawaidha yenu.

Steve Dii.

Hii nadhani nitawapa vijana pale UDSM (BSc Comp/Eng)wafanye Project ya 4th Year - tukiweza ku-patent itakuwa zaidi ya ma-Free Tools!
 
Back
Top Bottom