K Kababi Senior Member Dec 24, 2010 168 38 Dec 18, 2011 #1 Wadau vp?Ebwana naulizia mwenye info za waliofanya oral interview wameishaitwa?
nyasaland Member Jul 3, 2009 46 16 Dec 20, 2011 #3 bado huwa inakuwa mwezi wa kwanza mwanzoni japo barua zinakuwa dated 30/12/2011 so subiri
M mwanasongo New Member Dec 15, 2011 1 0 Dec 20, 2011 #4 ukiona kimya jua imekula kwako ndio maana ya shot lisit