Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
mbona mnatuchanganya? majembe wamezuia mitambo au ikulu imekuja juu?
Hata mimi nashangaa!
mbona mnatuchanganya? majembe wamezuia mitambo au ikulu imekuja juu?
..you r right,toka mwaka jana baada ya termination ya contract TRA walikuwa wp? lakin pia hii mitambo kuendelea kubaki kwenye yard ya TANESCO ina maana gn? dowans walitakiwa mitambo yao hapo haraka!!!! je wanalipa security charges kuiacha hapo?Ni upuuzi tu...............but we are approaching the end.
Jioni ya leo TRA wakiongozana mawakala wao Majembe walifika kuliko mitambo ya Dowans wamefunga kufuli zao na kukamata magari ya wafanyakazi wa Dowans,pia waliagiza mitambo isiuzwe wala isihamiswe. Cha ajabu nasikia haupita muda walirudi tena wakiwa wameloa jasho na kufungua kwa amri kutoka Ikulu. ikulu ina ubia na Dowans??!!
Jioni ya leo TRA wakiongozana mawakala wao Majembe walifika kuliko mitambo ya Dowans wamefunga kufuli zao na kukamata magari ya wafanyakazi wa Dowans,pia waliagiza mitambo isiuzwe wala isihamiswe. Cha ajabu nasikia haupita muda walirudi tena wakiwa wameloa jasho na kufungua kwa amri kutoka Ikulu. ikulu ina ubia na Dowans??!!
Khaaah.........!
Tehe nimefurahi kumwona yule jamaa msimamizi wa mitambo aliyekataa kutaja jina lake akasema mkawaulize wenye mitambo yeye si msemaji wa kampuni, anaitwa mr mwandenga, ni engineer, miaka ya 90 alikuwa tanesco naona kumbe alifuata green pastures kwa fisadis
Hata kama hao TRA wakamate hiyo mitambo hakuna chochote kitakachofanyika.Ni mara ngapi serikali inatangaza kuwakamata mafisadi halafu hawafanywi chochote?Tumechwoshwa na mambo ya kizushi.Kina White hair wapo wanakula vitita vyao vya kuifisidi nchi na kina Chenga.Kaazi kwelikweli