Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Kwa hiyo ulivyoongea na hicho "chanzo" chako cha habari ndani ya TRA wamesema wanaifikisha lini CDM mbele ya sheria? Waambie wanasubiriwa kwa hamu, CHADEMA ni waumini wa WAJIBU na HAKI, Naamini JOPO la wanasheria CDM watasimama kidete kuhakikisha haki zote zinatendeka kwa USAWA ulio SAWA; MUMENO UKIKATA MBELE, SHARTI NA NYUMA UKATE! JE, MTAWEZAKULIPA KODI MNAZODAIWA NYIE MAGAMBA?:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky: