Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Hivi hawa hawajui Dr wa ukweli ni rais wa moyoni wa watz?? Na hapo kama wanaguswa marais waanze na yule wa magamba. Je analipa kodi katika mshahara wake, na hayo marupurupu mengine ni kiasi gani? na je anayalipia kodi au zinakusanywa ili ale na riz 1? Bado vitu vyote anapewa bura hata akisafiri popote kila kitu anagharimiwa !!! Mkiendelea tunaandamana kutaka mshahara na marupu rupu yote hayo yawekwe wazi. Halafu tuambiwe ccm status yao ya kodi iko vipi.