Vijijini Lawama
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 298
- 73
Wadau naomba kujua ni vipi serikali inakosa pesa za kuendeshea shughuli zake za kiofisi na kufanya miradi ya maendeleo kama alivosema Pinda wakati TRA inavunja rekodi yake ya ukusanyaji wa mapato? Je Vile viwanja vya ndege, mito ya maziwa na mabomba ya maziwa na asali, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege za kisasa, bajaji za wagonjwa kila kijiji, barabara za angani, meli za kisasa katika maziwa yetu na laptops kwa kila mwanafunzi, vitanda kwa wajawazito kwa kila nyumba yenye mwanamke n.k tutafanyaje?
Nisaidien mimi nabwabwaja sina pa kusihka tena
Nisaidien mimi nabwabwaja sina pa kusihka tena