Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
WAKUU kuna tatizo kubwa la mtandao wa TRA kwa zaidi ya siku tatu sasa na watu ambao walikua watoe mizigo tokea juzi hadi sasa wamekwama na watalazimika kulipia storage wenyewe na hata kupata hasara kwa mizigo kuchelewa hata ile ya sikukuu ya Eid... Watu wanaokwama kwa sababu hizi wameanza kusema anayehujumiwa ni JK na Waislamu ili washindwe kupanga mambo yao ya siku kuu ya Eid na pia JK aonekana HAFAI..
Nimekuta hilo GUMZO airport cargo, TRA Long room na Bandarini, mwenye data na maelezo atuwekee humu, tatizo hasa nini? ama kuna UFISADI unataka kuchezwa? ama ndio kuna kitu kinataka kupitishwa so wanachezea mitandao? ama waliopewa kazi hawakidhi viwango?
Na
Nimekuta hilo GUMZO airport cargo, TRA Long room na Bandarini, mwenye data na maelezo atuwekee humu, tatizo hasa nini? ama kuna UFISADI unataka kuchezwa? ama ndio kuna kitu kinataka kupitishwa so wanachezea mitandao? ama waliopewa kazi hawakidhi viwango?
Na