Le Mutuz 2015 ...hii itatinga mtaani muda si mrefu ujao.
Le Mutuz hana ubavu huo , hela yote ya EPA imeliwa kwenye chaguzi za Magamba!! Toka ile ya Ubunge wa EA mpaka kwenye uchaguzi wa kata ya Magogoni!!Mama wa kambo sasa anatafuta fedha kupitia mgongo wa kamati ya miundombinu ya bunge kwa kuwapigia debe wachina wapate contract za kujenga gati bandarini!!