Kuna watu wameitwa/wamepigiwa j3 tar.30, kwenda kuanza kufanya kazi. Sijui na wewe ulikuwa batch moja ama laa?
Ila mbona juzi tu interview ilifanyika lini?!!
Patoshik nashkuru sana maana watu kwa kukatisha wenzao moyo kisa wao wameshapata...ila wakumbuke aliye juuu
Ukisikiliza watu wa humu unaweza ukadata, cjui inakuaje m2 anakuwa anatoa infos ambazo hana uhakika nazo. Watu walioitwa kazini na ni juzi 2 wamepangiwa vituo baada ya kufanya training kwa wiki 1 ni wale walioapply nafac zilizotokaga july 2011 ambozo ni ass tax officers, ass preventive officers n.k. Kwa nafac hizi za juzi juzi maalum kwa waliograduate 2011 ambazo ni ass customs officers, ass accountants, ass hr officer, it n.k mchakato wake bado hata kushortlist hawajaanza.. Kwa kifupi we tulia 2 cz huwa inachukua muda mrefu kidogo mpk washortlist.. HAKUNA ALIYEITWA KAZINI KWA NAFASI HIZI ZA JANUARY 2012.