TRA- Short list for aral interview

SOKETI

JF-Expert Member
Jul 24, 2010
206
50
Hatimaye mchakato wa kuchagua watakao ingia kwenye oral interview umekamilika, ni baada ya matokeo ya mitihani iliyo fanyika jana hasubuhi/saa mbili na nusu. Hapa vimemo vipi?
 
Dah,
Kwa hiyo wanachukua wangapi?
Hii kazi wiki moja tu unakuwa bilionea kwa jinsi ilivyo kaa kimagendo gendo
 
Dah, hawa jamaa kwakweli ni balaa..!!, kufanya written Interview walikuwa wanaita majina, only shortlisted people. Kwa wale mamluki hawakupata nafasi ya kuingia. Na wenye GPA kuanzia 3.9 and above ndo waliokuwa shortlisted, kwaajili ya written interview. Ingawa kuna baadhi walikuwa na sifa kama hizo na waliapply lkn hawakuitwa.
 
Unaeleweka kwa shida mkuu siku nyingine jitahidi kupitia kabla uja post.

Dah, hawa jamaa kwakweli ni balaa..!!, kufanya written Interview walikuwa wanaita majina, only shortlisted people. Kwa wale mamluki hawakupata nafasi ya kuingia. Na wenye GPA kuanzia 3.9 and above ndo waliokuwa shortlisted, kwaajili ya written interview. Ingawa kuna baadhi walikuwa na sifa kama hizo na waliapply lkn hawakuitwa.
 
Still naikumbuka interview ya arusha tech college.Kwa nafasi ya tutorial assistant waliita watu,then wakaanza na written,cha kushangaza watu waliambiwa wasifanye hiyo interview cause walikuwa hawana certificate ya chuo.Sasa,nlijiuliza vipi walisholisti watu kwa kutumia transcript,didn't they know it be4?4 ril,hiki chuo ni cha ubabaishaji sana,they are not serious.How could they shortlist 150 people 4 only 10 post,na kati ya hizo 10 posts walikuwa na watu wao!Wamesumbua sana watu,i hated that,sio uungwana ule.
 
Duuu!!! Kweli mwaka huu mdogo wangu anaweza kuanza kuugua Pressure..Ina maana hawa jamaaa wa TRA wameshaita na zile kazi nyingine au wamesema kwanza na jamaa wa CUSTOMS....maana dogo langu linasubiri hatma yake ya TRA haijui hata ya NSSF maana mpaka sasa hakuna hata beep na simu yake kutwa kwenye charge ili wasije sema walimkosa...Kweli hata Kazi yenyewe kuipata ni KAZI
 
Back
Top Bottom