Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
kupata ushahidi kirahisi ni ngumu, lakini kama kuna ufisadi, ilikuwa ni kazi ya serikali kuzisaka hizo documents kwa sababu wananchi tayari wameshatoa wasiwasi wao upo kwa nani.
lakini hilo tuote tu kwa kuwa halitotokea hapa tanzania katika miaka hii ya karibu.
anaetishia kuwafichua mafisadi anakufa taratibu , na habari tunapewa wiki baada ya kufa
lakini hilo tuote tu kwa kuwa halitotokea hapa tanzania katika miaka hii ya karibu.
anaetishia kuwafichua mafisadi anakufa taratibu , na habari tunapewa wiki baada ya kufa