TRA na promosheni za kampuni za simu

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Kumekuwa na promo nyingi toka kampuni za simu na nyingine ni kuwauzia wateja ringtones za miito.

Hii ni tofauti na mauzo yaliyo wazi kama mauzo ya airtime, na hata simu za makampuni husika ambapo walau TRA wanaweza kuweka angalizo, kwa wastani biashara hii ni kubwa mno hasa hapa kwetu ambapo kiwango cha umiliki simu za viganjani ni mkubwa.

JE? Kodi ya mauzo ya Ringtones na promotion mbalimbali tunazotangaziwa kila ukicha mbona TRA hawatutangazii ni kiasi gani serikali inapata au ni ufisadi mwingine huu?
 
Kumekuwa na promo nyingi toka kampuni za simu na nyingine ni kuwauzia wateja ringtones za miito.

Hii ni tofauti na mauzo yaliyo wazi kama mauzo ya airtime, na hata simu za makampuni husika ambapo walau TRA wanaweza kuweka angalizo, kwa wastani biashara hii ni kubwa mno hasa hapa kwetu ambapo kiwango cha umiliki simu za viganjani ni mkubwa.

JE? Kodi ya mauzo ya Ringtones na promotion mbalimbali tunazotangaziwa kila ukicha mbona TRA hawatutangazii ni kiasi gani serikali inapata au ni ufisadi mwingine huu?
Mkuu ni swali zuri, pamekuwa na tatizo kwa muda mrefu kwa tra ku establish tax base pamoja na mbinu za wawekezaji hasa kitechnologia sambamba na tra ambao walikuwa nyuma sana kimbinu.mfano wa makampuni tata wa mfumo wa kulipa kodi kwa shughuli zao hasa wakitumia mwavuli wa technologia ni Dstv nafikiri kodi katika sophificated technology ya ulimwengu wa sasa inaitaji iundwe kitengo maalum kitachoweza kudeal na this situation hasa wenye ufahamu wa kutosha wa kodi na technologia.
 
tra wamebuni njia mpya za kukusanya mapato kwa mabadiliko ya income tax upande wa withholding tax na ujio wa machine zinazotoa receipt kwa kila mauzo lakini utaona pia upande wa wakwepa kodi kitechnology ni wengi mno.wanaotengeneza sera pale tra ni watu wanaofahamu vizuri mambo ya kodi lakini bado nahofu na jinsi ukwepaji wa kodi kwa technologia umepatiwa mwarobaini.
 
mfumo wa kodi unachangamoto sana, VAT na withholding tax kwa sasa vitazidisha hali kuwa mbaya sababu ya matumizi ya serikali yasiyo na priorities.
 
Back
Top Bottom