commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Kumekuwa na promo nyingi toka kampuni za simu na nyingine ni kuwauzia wateja ringtones za miito.
Hii ni tofauti na mauzo yaliyo wazi kama mauzo ya airtime, na hata simu za makampuni husika ambapo walau TRA wanaweza kuweka angalizo, kwa wastani biashara hii ni kubwa mno hasa hapa kwetu ambapo kiwango cha umiliki simu za viganjani ni mkubwa.
JE? Kodi ya mauzo ya Ringtones na promotion mbalimbali tunazotangaziwa kila ukicha mbona TRA hawatutangazii ni kiasi gani serikali inapata au ni ufisadi mwingine huu?
Hii ni tofauti na mauzo yaliyo wazi kama mauzo ya airtime, na hata simu za makampuni husika ambapo walau TRA wanaweza kuweka angalizo, kwa wastani biashara hii ni kubwa mno hasa hapa kwetu ambapo kiwango cha umiliki simu za viganjani ni mkubwa.
JE? Kodi ya mauzo ya Ringtones na promotion mbalimbali tunazotangaziwa kila ukicha mbona TRA hawatutangazii ni kiasi gani serikali inapata au ni ufisadi mwingine huu?